Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Salama
Nilitaka kuuliza wewe unakujua tegeta.

Kuna kituo kinaitwa Tegeta Kwa ndevu??
Na kama kipo kinafuata kikitoka kituo Gani?
Na Tegeta nyuki kipo wapi?

Yes dear napafahamu tegeta .
ndio kipo kwa ndevu .

ukianza tegeta unaanza kwa ndevu pamechangamka then kituo kinachofata ni Azania baada ya hapo ndo unashuka Nyuki ambapo ndo sokoni .

mfano Kama unatokea Mbezi mwisho/mawasiliano / Tabata segerea Kuna magari ya Tegeta nyuki ya moja kwa moja .
 
Yes dear napafahamu tegeta .
ndio kipo kwa ndevu .

ukianza tegeta unaanza kwa ndevu pamechangamka then kituo kinachofata ni Azania baada ya hapo ndo unashuka Nyuki ambapo ndo sokoni .

mfano Kama unatokea Mbezi mwisho/mawasiliano / Tabata segerea Kuna magari ya Tegeta nyuki ya moja kwa moja .
Oh sawa akhsante.
 
Back
Top Bottom