Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,211
Kwahiyo mnatuambiaje tusiotumia?Shanga ni moja ya chachu kwenye mapenzi, sikuwa nazipenda kabisa, paka kuna siku nilipokutana na mtoto mmoja kavaa shanga moja matata.. Kwisha habari yangu, nimejikuta mdada bila kashanga hata kamoja kama simuelewi vile

