Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,224
Uhakika ni tushaoana shostSijui kama niko sahihi
At least mpaka muwe mmefanya Mila Kama mahari na uchumba ... hapo umehalalisha kidogo... hayo mengine utaachwa tu siku isiyo na jina.
Japo wakati wa uchumba unapaswa kubehave as mke mtarajiwa, yan ile sio ndio dunia ishaharibika basi nawe uchukulie poa huo uchumba na kuendeleza chatting na ma Ex
Hapo akikubamba ni sekunde kakumwaga



