Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaaah sasa bila ya huyo mtu still now kuna vitu usingevijua 🀣🀣🀣🀣 sa hivi hata stress za ajabu ajabu huwezi kupata πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ‘πŸ‘
Nazipataje yaaan? Bado sanaa
 
Wewe wa kunisaidia mimi

Nilishapita huko mkuu

Nina maisha ya nimle/nile nani/nini

Wakati wowote ninaojisikia
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘ "" Nina maisha ya nimle nani na nile nini wakati wowot naojiskia"" hongera sana πŸ‘πŸ‘πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£ ila kukusaidia naweza kabisa an πŸ’―
 
kulalamika ni nature yetu
tunaaangali kila kitu.
wanaume nyie ni next level maana mnawapanga wadada .

binafsi siwezi kuwa na watu wengi kisa nini , baadaye huko nikipata la kunipata nabaki kujiuliza maswali mengi
🀣🀣🀣 Wachache sana sasa mpo ka wewe.. na pia sio ka uwezi ila ujaamua.. sasa huyo mmja akizingua what next.. so lazima wawepo tuu wengine ,🀣🀣
 
🀣🀣🀣 Wachache sana sasa mpo ka wewe.. na pia sio ka uwezi ila ujaamua.. sasa huyo mmja akizingua what next.. so lazima wawepo tuu wengine ,🀣🀣
I think I'll be fooling myself πŸ˜‚πŸ˜‚
what do I gain by cheating ?
I know ni vizuri kuwa na back up lakini nishashindwa.

akizingua nabaki mwenyewe kama kawa πŸ˜‚πŸ˜‚ .
 
Back
Top Bottom