Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,423
- 54,876
πππππ Lakini kuwa makini na nenda kwa tahadhari...Thank you
ngoja nijifunze kwanza maisha
πππππ Lakini kuwa makini na nenda kwa tahadhari...Thank you
ngoja nijifunze kwanza maisha
Okay , thanksπππππ Lakini kuwa makini na nenda kwa tahadhari...
Yaaah sasa bila ya huyo mtu still now kuna vitu usingevijua π€£π€£π€£π€£ sa hivi hata stress za ajabu ajabu huwezi kupata π€£π€£π€£πππMekuwa more than solid π
Surely πTujue kabisa
unakuwa prepared for fun .
ikiisha fun , huyo moyo hauna makwazo.
Nazipataje yaaan? Bado sanaaYaaah sasa bila ya huyo mtu still now kuna vitu usingevijua π€£π€£π€£π€£ sa hivi hata stress za ajabu ajabu huwezi kupata π€£π€£π€£πππ
Wewe wa kunisaidia mimiHapana sizani ka unazo za kushantosema ukweli tujue tunakusaidia vipi..!


Utazipata tuu... Utajichanganya tena "" kusahau ndo udhaifu wetu binaadamu""" mi nipo hapa takua na smile tuu ππππNazipataje yaaan? Bado sanaa
kulalamika ni nature yetuWanawazidi hadi wanaume... Afu nyie sasa mambo kidogo tu mna lalamika weeeeeehπ€£
Nataka nipite for funWaseme kabisa
Na mtu ujiandae kuwa we just having fun

πππππππππ "" Nina maisha ya nimle nani na nile nini wakati wowot naojiskia"" hongera sana πππ€£π€£π€£π€£π€£ ila kukusaidia naweza kabisa an π―Wewe wa kunisaidia mimi
Nilishapita huko mkuu
Nina maisha ya nimle/nile nani/nini
Wakati wowote ninaojisikia
Pole kibungoπ€£π€£Mekuwa more than solid π
KazanaaaPole kibungoπ€£π€£
Huku mambo yametaradadi full rahaaaa
π€£π€£π€£ Wachache sana sasa mpo ka wewe.. na pia sio ka uwezi ila ujaamua.. sasa huyo mmja akizingua what next.. so lazima wawepo tuu wengine ,π€£π€£kulalamika ni nature yetu
tunaaangali kila kitu.
wanaume nyie ni next level maana mnawapanga wadada .
binafsi siwezi kuwa na watu wengi kisa nini , baadaye huko nikipata la kunipata nabaki kujiuliza maswali mengi
NajitahidiKazanaaa
Hakuna hiyo ππNataka nipite for fun![]()
Jitahidi mpaka wazazi wamjue ππ ama laaa tutakuja na kikosi kazi kubembelezaNajitahidi
I think I'll be fooling myself πππ€£π€£π€£ Wachache sana sasa mpo ka wewe.. na pia sio ka uwezi ila ujaamua.. sasa huyo mmja akizingua what next.. so lazima wawepo tuu wengine ,π€£π€£
"..ila kukusaidia naweza kabisa an 100%""" Nina maisha ya nimle nani na nile nini wakati wowot naojiskia"" hongera sana
ila kukusaidia naweza kabisa an
![]()
πππ haitouma kama ya jamaaUtazipata tuu... Utajichanganya tena "" kusahau ndo udhaifu wetu binaadamu""" mi nipo hapa takua na smile tuu ππππ
Dadake niajePole kibungo
Huku mambo yametaradadi full rahaaaa