Zenjibari?
Nimeona saa 6 mimi ...Woiiii nyonyo nyonyo T kubwa mnooo
Haswaaajogoo umewikaa mchana
Dah...jamaa umefanana na Maxence Melo kiasi yake japo sura nusu
Siku hizi sivai shemHaupiti dukani siku hizi shem..Umeacha kuvaa au umebadili kijiwe?

Reincarnation
Siku hizi sivai shem![]()
Hebu nitumie ile picha niliyoipiga kwenye simu yako niipost.
Yani ujipost?? NeverHebu nitumie ile picha niliyoipiga kwenye simu yako niipost.
Wewe mbona unaposti?Yani ujipost?? Never
Atapokea tuuu. Sema atanifanyia makusudi ataongea kama mbabaila kwa huo mpango sidhani kama atakupokelea tena simu zako
![]()
Hahahahha sitaki kupoteza uaminifu.siyo kwa kujitetea huko utadhani kuna viboko,, haki leo umenichekesha mimi jamani..
Si mchezo mkuuHapo mzee baba unatafakari meseji ya "nitumie na ya kutolea"...