Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,342
- 17,661
Habari za mchana waheshimiwa,mimi namshukuru mungu ni mzima wa afya tele.
Khaaaa
ijia ile pensi banaHaupiti dukani siku hizi shem..Umeacha kuvaa au umebadili kijiwe?
Teh teh..Bro kwani mimi na wewe tunadhuriana?..We huyu anachukua kwangu.
Fanya kitu Mzee mwenzangu waondokane na hiyo hofu. Pika vitu.Eti wanaogopa kujaza server halafu pia wanaogopa mamende na mafisi
Aliyekuficha babe mmmh
![]()
Hakunaa....nipooo,umefungiwa wapi?
jogoo umewikaa mchana