Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,393
- 6,562
Morning



niroge mimi
Natafuta wa kumroga halafu nimtibu nipate kianzio cha wiki
Ulikuwa umelala nini?Haha hiyo hela uitume kwenye namba yangu
Hakika mkuu mrogi mshanaNimeyatamani... Haya ya kuivia mtini ni matamu sana
Haupiti dukani siku hizi shem..Umeacha kuvaa au umebadili kijiwe?
Hilo neno lina ukakasi sana mkuuNakupenda
Nipo mkuu..Kula hakufilisi..Sema pesa ngapi?
Inatoka bila tatizo kabisaMkuu hiyo pete unaweza kuvua kweli imebana mno