Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Attachments

  • Screenshot_20221115-164026~2.jpg
    Screenshot_20221115-164026~2.jpg
    26.8 KB · Views: 2
Naona umeona hali harisi sasa πŸ™„πŸ™„
Naumia sana kwa kweli na nia yako ni ya dhati kabisa kwake. Wala hutaki mambo mengi ila amekufungia mlango hata kuwa na chembe ya huruma akufungulie pm uwe unampa mipango mizuri ya hela anaogopa. πŸ₯Ί Tusikate tamaa tuendelee kumbembeleza nawewe usiache kumbembeleza one day yes!
 
Naumia sana kwa kweli na nia yako ni ya dhati kabisa kwake. Wala hutaki mambo mengi ila amekufungia mlango hata kuwa na chembe ya huruma akufungulie pm uwe unampa mipango mizuri ya hela anaogopa. πŸ₯Ί Tusikate tamaa tuendelee kumbembeleza nawewe usiache kumbembeleza one day yes!
😒😒😒😒 Nateseka sana humu, hanitaki kabisaaa, kuna siku nimewasha gari kutoka dar hadi huko alipo nimefika kahama akaninunia hapa, hata salama akawa hataki, ebu ona mafuta kiasi gani nilichoma 😭😭
 
Hii K hapa inasimama badala ya neno gan?
πŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜
 
Back
Top Bottom