Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
πππ€£π€£π€£π€£πππππ! Kajisemea ukweli π€£π€£πππ Ujiiiiiiiii hapana πππ
noma aiseee
πππ€£π€£π€£π€£πππππ! Kajisemea ukweli π€£π€£πππ Ujiiiiiiiii hapana πππ
Nambie bs mimi pic sijaiona..
Nimepitwaje sijui, nimevurugwaa hapana abdala kichwa wazi anasaka pa kutokea π π π maana nime imagine tuNational Anthem naomba uje unifafanulie hii comment ina maana bi mkubwa wangu Rumaiya kamwaga radhi mchana kweupe na nimepitwa cjauona π
Kwanza mtu ukiwa na njaa unakua na mahasira hasira, asa mtafurahiaje penzi huku njaa π€£ π€£Njaa ni balaa π
tumbo haliridhiki .
We andaa vocha ya Airtel ya buku kwaajili ya Saint Anne na ya 1000 ya halotel kwaajili ya Carrasco putin alafu tuanze mashambulizi ya ukuwadi ndani ya jamii forums. Nje niachie mimi maana namba yake ninayo. π€π’π’π’π’ Nateseka sana humu, hanitaki kabisaaa, kuna siku nimewasha gari kutoka dar hadi huko alipo nimefika kahama akaninunia hapa, hata salama akawa hataki, ebu ona mafuta kiasi gani nilichoma ππ
Haiwezekani, ebu rudia ππππNimepost miguu bana..sijui Antonnia kawaza Nini ππ
Kijana wangu vingine vikupiteNational Anthem naomba uje unifafanulie hii comment ina maana bi mkubwa wangu Rumaiya kamwaga radhi mchana kweupe na nimepitwa cjauona π
Ebu tuponye mioyo yetu basi, tumechanganyikiwa tayari π’π’Kijana wangu vingine vikupite
ππππPoleni..kwaheriniEbu tuponye mioyo yetu basi, tumechanganyikiwa tayari π’π’
Dah πππ tuhurumie sie watoto wakoππππPoleni..kwaherini
ππππ
Hamuwezi mkafurahia kabisa ..Kwanza mtu ukiwa na njaa unakua na mahasira hasira, asa mtafurahiaje penzi huku njaa π€£ π€£
Aliweka picha miguu ndio nikakumbuka uzi wa mshana wa kuna viungo lazima vifanane ππππ€£π€£!!Nambie bs mimi pic sijaiona..
Karibu, Boss.Tunaomba lift.
π π π Ile kama ndege inapaaa usawa wa bahari hivi, ile inaanza kushuka inakutana na ukungu inarudi ilipotoka unaijua hiyowacha wee.