Kaenda dukani nini π€£π€£ mbona kapoteaZileetreeee vochaa zileetreeee vochaaa!! Kakaetu anatujali sana wadogo zake na kuamua kushea nasi kwa kile apatacho!! He's one of a kind kwakweli Namuombea sana azidi kubarikiwa yule kaka!
πpoulevocha walikua wanadaka wengine, lakini zigo nabebeshwa mie. Uwiiiiiih hili gundu wallah nkaoge maji ya maiti.
Khaaaaaah
πππππ jamaniiwee mbna wengine wanasema nilikua vacay na mtu wa selfika, tena Zanzibar, akat mie nilikua zangu Home Songea nakula dagaa nyasa.
Jaman JF kuzusha msiyoyajua mtakuja mfe na kwa kutupiwa kigorori khaaaaah.
Uwiii basi nitakua na mabwana wengi humu ndani π€£π€£π€£π€£ maana kununa me siweziSiachi kuwafatilia π€£π€£
Tena nikiona tu unachekeana na mtu me, tayari anakuwa bwanako.. nakutia kwenye list ππππ
Afu naanza zungukia pm za watu kuwapa ka ubuyu π€£π€£π€£
Ghaiiiiiiii
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππ€£π€£π€£ππ! Jf πππππWallah watu watakufa ulimi wametoa nje, coca yuko zenji na mtu wa selfika,tena kwa kujitongozesha na kaishiΓ kuwekwa hotelin, na hajapewa chochote, kuuliza ni baba la 45+ yrs, jaman coca aache vijana wenzie akimbilie walezi wa wana?
Wanitueeeee.
Kumbe uzi una wababa wakubwa hivo na hamsemii π€£π€£π€£Wallah watu watakufa ulimi wametoa nje, coca yuko zenji na mtu wa selfika,tena kwa kujitongozesha na kaishiΓ kuwekwa hotelin, na hajapewa chochote, kuuliza ni baba la 45+ yrs, jaman coca aache vijana wenzie akimbilie walezi wa wana?
Wanitueeeee.
πππβUwiii basi nitakua na mabwana wengi humu ndani π€£π€£π€£π€£ maana kununa me siwezi
Tulikulea vizuri binti.
Naweza tunza mume,watoto,ndoa na ndugu wa pande zote mbili
coca mbavu zanguuu mimiiiii πππ€£π€£π€£π€£ unaniua hukuuuuuππππNa vibabuuuu kabisaaa, ila havitaki kuzeeka.
Nimecheka vibaya π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Na vibabuuuu kabisaaa, ila havitaki kuzeeka.
Ukitoka outing na mwamba wako make sure unachangia japo kidogo dear..
Akigoma usichangie bill basi toa cash mlipe waiter.
Kuwa mwanamke lakin pia kuwa classy..jitengeneze mwanaume akuheshimu.kuwa miss independent hata Kwa kidogo ulichojaliwa.
Mada ni ndefu hii jamani..ngoja kwanza ninywe soda hapa
Humu mi nishazoea naenda na tyune zao tyu uzuri ukizima data unaendelea na life lakol baassiiYaan hii selfika ina watu wana mambo, lakini wanavyo behave humu ndan ndo maan nikitibukaga nachana makavu, mxieeeeeeeew.
Mchumba umenicheat mtoto wa nyasaDyadyaaaa mwezi m1 nlopotea humu ndani mengi yamezushwaaa,, kuna huyo kaja PM "ulinikataa mimi nilikuambia itakua siri yetu wee ukaamua kumfuata fulani bas JF nzima inajua fulani kaku inamisha"
Cocaa weee.
π π π π ushindweeUnasubiri mtu akajitambulishe unadhani ndiyo kigezo cha kutokuachwa? Hivi unatujua au unatusikia. Mi binafsi niliwahi kujiita paulo nikaenda huko mbeya kwa kina Saint Anne na bdo nilimuacha kwenye mataa π amebaki kuniita mbwa tu mpaka leo.
π π π π ushindweeUnasubiri mtu akajitambulishe unadhani ndiyo kigezo cha kutokuachwa? Hivi unatujua au unatusikia. Mi binafsi niliwahi kujiita paulo nikaenda huko mbeya kwa kina Saint Anne na bdo nilimuacha kwenye mataa π amebaki kuniita mbwa tu mpaka leo.
Ubarikiwe mnoo Poker Japo sijaambulia kitu!! Nimeona dk 3 zishapita shukrani sana kwa kutubariki!!πβοΈβοΈ