Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Me
Kutafuta hela
Kuhudumia familia
Kulinda familia

Ke
Mama (kuzaa na kulea watoto)
Mshauri mzuri sana wa Me
Kwa namna ujuavyo , acha tukuache hapo.. siku utapo fahamu.. utaelewa kwanini mwanaume anatakiwa kufurahishwa.. Nakupa mfano mdogo..

Mungu anaachia baadhi ya baraka zake pale anapo furahishwa na utii wa watoto wake.

Hapo hapo Kristo alilipenda kanisa .. Kristo ni Kichwa. Mume ni picha ya Kristo katika ndoa hata maandiko yanasema hivyo.. na jukumu kubwa la Mume ni kupenda ( kumpenda Mke ), na jukumu kubwa la mwananke ni kutii.. angalie kipi kinatangulia.. kama umesoma magazijuto simple hiyo
 
Kwa namna ujuavyo , acha tukuache hapo.. siku utapo fahamu.. utaelewa kwanini mwanaume anatakiwa kufurahishwa.. Nakupa mfano mdogo..

Mungu anaachia baadhi ya baraka zake pale anapo furahishwa na utii wa watoto wake.

Hapo hapo Kristo alilipenda kanisa .. Kristo ni Kichwa. Mume ni picha ya Kristo katika ndoa hata maandiko yanasema hivyo.. na jukumu kubwa la Mume ni kupenda ( kumpenda Mke ), na jukumu kubwa la mwananke ni kutii.. angalie kipi kinatangulia.. kama umesoma magazijuto simple hiyo
Kunywa soda nakuja kulipa tafadhali
 
National Anthem huwezi kwenda kumtongoza mtu kwenye thread ya siasa! Kuna mahala pake haya sasa mnyamwezi wangu vocha zimeombwa hapo embu sababisha basi.
Antonnia anaelewa vizuri sana, hapa anatingisha tu moyo wangu zaidi nizidi kuumia ila fresh 🥲🥲🥲 vocha kitu gani kuna siku nilishawawekea vocha za laki na nusu sijui laki mbili humu. Vitu vidogo sana hivyo uchunguu sana Antonnia 😭😭😭😭
 
Kwa namna ujuavyo , acha tukuache hapo.. siku utapo fahamu.. utaelewa kwanini mwanaume anatakiwa kufurahishwa.. Nakupa mfano mdogo..

Mungu anaachia baadhi ya baraka zake pale anapo furahishwa na utii wa watoto wake.

Hapo hapo Kristo alilipenda kanisa .. Kristo ni Kichwa. Mume ni picha ya Kristo katika ndoa hata maandiko yanasema hivyo.. na jukumu kubwa la Mume ni kupenda ( kumpenda Mke ), na jukumu kubwa la mwananke ni kutii.. angalie kipi kinatangulia.. kama umesoma magazijuto simple hiyo
Sawa mtumishi
Ila kumbuka Mungu ni mwema kwa wanadamu wake
 
Back
Top Bottom