National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,176
- 56,202
Dah! 🥲🥲 sawa, kila mtu ana mtu wake, naona ntu wangu ni wewe na nimekwama ile mbaya harafu huna time kabisa na mieDada zako Tunaomba vocha mjomba na Poker mziweke hapahapa selfika!!
Dah! 🥲🥲 sawa, kila mtu ana mtu wake, naona ntu wangu ni wewe na nimekwama ile mbaya harafu huna time kabisa na mieDada zako Tunaomba vocha mjomba na Poker mziweke hapahapa selfika!!
MeTaja general majukumu ya Me ni yepi Ke ni yepi
National Anthem huwezi kwenda kumtongoza mtu kwenye thread ya siasa! Kuna mahala pake haya sasa mnyamwezi wangu vocha zimeombwa hapo embu sababisha basi.Dada zako Tunaomba vocha mjomba na Poker mziweke hapahapa selfika!!
Nawewe pia tubless mavocha banaa!!National Anthem huwezi kwenda kumtongoza mtu kwenye thread ya siasa! Kuna mahala pake haya sasa mnyamwezi wangu vocha zimeombwa hapo embu sababisha basi.
😂😂 afu yuko well educated, sijui linakwama wapi 🙌Ni yeyeeee lazima
Yaani ni aibu kufatiliana maisha watu wazima, kwanini kila mtu asishike 50 zake.
Tukikutana hapa tupige porojo then kila mtu na 50 zake, tusifatiliane mambo private ndio maana hata id tunatumia fake
🤣🤣🤣🤣Nitaliaaaaaaaaaa..kwikwikwikwiii akiniachiliaaaa.....Oohh My Gadooooo🤣🤣🤣
Kwa namna ujuavyo , acha tukuache hapo.. siku utapo fahamu.. utaelewa kwanini mwanaume anatakiwa kufurahishwa.. Nakupa mfano mdogo..Me
Kutafuta hela
Kuhudumia familia
Kulinda familia
Ke
Mama (kuzaa na kulea watoto)
Mshauri mzuri sana wa Me
Kabisa... tunasogeza masaa tu hapa!!Ni yeyeeee lazima
Yaani ni aibu kufatiliana maisha watu wazima, kwanini kila mtu asishike 50 zake.
Tukikutana hapa tupige porojo then kila mtu na 50 zake, tusifatiliane mambo private ndio maana hata id tunatumia fake
Tunaanza kupenda, sina feeling kabisa .. wewe mwenyewe ulinitupa mchana kweupe 🙂🙂🙂.. ila fresh sina bahati na watu wa humu huenda mwenza wangu yupo BadooTo yeye amekwambiaje kule London 🤣
Za kuambiwaaaaa.............!! Vingine sikiliza ukaact uachikeee mazimaaa 😂😂😂😂😂!🤣🤣🤣🤣
Ninaifuatilia miandiko tu🤣🤣
Hatari tupu😅😅😅
Kunywa soda nakuja kulipa tafadhaliKwa namna ujuavyo , acha tukuache hapo.. siku utapo fahamu.. utaelewa kwanini mwanaume anatakiwa kufurahishwa.. Nakupa mfano mdogo..
Mungu anaachia baadhi ya baraka zake pale anapo furahishwa na utii wa watoto wake.
Hapo hapo Kristo alilipenda kanisa .. Kristo ni Kichwa. Mume ni picha ya Kristo katika ndoa hata maandiko yanasema hivyo.. na jukumu kubwa la Mume ni kupenda ( kumpenda Mke ), na jukumu kubwa la mwananke ni kutii.. angalie kipi kinatangulia.. kama umesoma magazijuto simple hiyo
Tabia kibungo😂😂 afu yuko well educated, sijui linakwama wapi 🙌
Sasa kwanini umuache hapo 🤣Kwa namna ujuavyo , acha tukuache hapo.. siku utapo fahamu.. utaelewa kwanini mwanaume anatakiwa kufurahishwa.. Nakupa mfano mdogo..
JF ina visa na mie, afu sio mjep tyuuh wapo tena wengine wawili hapa hapa Selfika.
Antonnia anaelewa vizuri sana, hapa anatingisha tu moyo wangu zaidi nizidi kuumia ila fresh 🥲🥲🥲 vocha kitu gani kuna siku nilishawawekea vocha za laki na nusu sijui laki mbili humu. Vitu vidogo sana hivyo uchunguu sana Antonnia 😭😭😭😭National Anthem huwezi kwenda kumtongoza mtu kwenye thread ya siasa! Kuna mahala pake haya sasa mnyamwezi wangu vocha zimeombwa hapo embu sababisha basi.
Sawa mtumishiKwa namna ujuavyo , acha tukuache hapo.. siku utapo fahamu.. utaelewa kwanini mwanaume anatakiwa kufurahishwa.. Nakupa mfano mdogo..
Mungu anaachia baadhi ya baraka zake pale anapo furahishwa na utii wa watoto wake.
Hapo hapo Kristo alilipenda kanisa .. Kristo ni Kichwa. Mume ni picha ya Kristo katika ndoa hata maandiko yanasema hivyo.. na jukumu kubwa la Mume ni kupenda ( kumpenda Mke ), na jukumu kubwa la mwananke ni kutii.. angalie kipi kinatangulia.. kama umesoma magazijuto simple hiyo