Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
Zamani bana 😂unakula chaki?
Zamani bana 😂unakula chaki?
Na huo muda wote hukulala, ulikaa sebuleni unamsubiriaaKweli dear
yeye ana wanawake wengine huko na wewe eeh umetulia tu .
Arudi saa saba usiku , unamuambia karibu Kipenzi changu 🤣🤣.
Heeee yan mume ndio kamtambulisha mke kama House girl?Ooh inahuzunisha kwa kweli
Kuna mdada anasema alikuwa na Mumewe ghafla mchepuko huyo katokea , huyo Dada alitambulishwa kama house girl mbele ya mchepuko .
Hahahahaha ila kuna watu ni makatili jamaniUnaambiwa tu dada yako anapiga simu babe naomba usikohoe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahha pressure ipande bureHakuna kuulizaaa unatuliza mshonooo😁😁🤣🤣🤣🤣!
siwezi unafiki mie
jamni nitakuangalia macho makali , mdomo nimekunja![]()







hujui kukaushaaa au?😂😂😂😂😂😂 hapo uliingia ukijua we ni side babe, sasa inakupasa utulieHahahahaha ila kuna watu ni makatili jamani
Aki me ningemrushia kiatu huyo aliyenitambulisha kama house girlOoh inahuzunisha kwa kweli
Kuna mdada anasema alikuwa na Mumewe ghafla mchepuko huyo katokea , huyo Dada alitambulishwa kama house girl mbele ya mchepuko .
Mamaeeee!! Kama ni wewe unafanyeje hapo🤣🤣😁😁😁???Ooh inahuzunisha kwa kweli
Kuna mdada anasema alikuwa na Mumewe ghafla mchepuko huyo katokea , huyo Dada alitambulishwa kama house girl mbele ya mchepuko .
Ndio kamtambulisha hivyo ?Heeee yan mume ndio kamtambulisha mke kama House girl?
Saa 7 usiku obvious atakuja kashiba mwili, nafsi na roho, wewe anakuona kama kimdudu gani sijui![]()





nakufaaaa mie. WallahTena unakua mpole kama tangia mwanzoni ulipewa angalizo 🤣🤣😂😂😂😂😂😂 hapo uliingia ukijua we ni side babe, sasa inakupasa utulie
Hapana aiseeNdio kamtambulisha hivyo ?
hapo kuna kuvumilia jamani
Ndio utakuwa busy kubana kikohozi na kuhena kwa nguvu 🙌Tena unakua mpole kama tangia mwanzoni ulipewa angalizo 🤣🤣
Kuna saa nilishika simu nipige nikajiskia kujicheka nikarudisha simu.Kwanza umechukua hela yako? 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁!! Lazima utiiiiiii jamaniiiiiiiUnaambiwa tu dada yako anapiga simu babe naomba usikohoe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
shida sana kuolewa na chapombe kwanza miharufu ile aisee labda awe sio mnywaji sanaNa huo muda wote hukulala, ulikaa sebuleni unamsubiriaa
Haki jamani, sitaki kuja olewa na mwanaume anayekunywa pombe, maana hao ndo zao kukaa bar huku wewe nyumbani unamsubiria
Hata kuhema huruhusiwi hapo🤣🤣🤣Ndio utakuwa busy kubana kikohozi na kuhena kwa nguvu 🙌