cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,289
Mimi si house girl , nawaacha hapo , tutakutana nyumbaniMamaeeee!! Kama ni wewe unafanyeje hapo🤣🤣😁😁😁???
Nilitambulishwaaa n binamu yake, tulipotoka hapo eneo, nkamuambia haya binamu kawasalimie shangazi na mjomba, toka hapo had leo imebaki story.Ndio kamtambulisha hivyo ?
hapo kuna kuvumilia jamani
Eti jamani, mtu ambaye hamheshimu mkewe huyo hafai kwenye jamii.Hapana aisee
Hiyo dharau ni kubwa sana 😂😂
😂😂😂😂😂😂Wanawake mpo milion 31 acheni ujingaaa tafuten bwana hukuu
🤣🤣🤣🤣Nilitambulishwaaa n binamu yake, tulipotoka hapo eneo, nkamuambia haya binamu kawasalimie shangazi na mjomba, toka hapo had leo imebaki story.
Sitaki unafiki na kufake kwenye mahusiano, siweziiiiiiiiii.
Mtext.. mwambie samahani naomba ile Pesa🤣Kuna saa nilishika simu nipige nikajiskia kujicheka nikarudisha simu.
Au nimpigie saivi, kweli nina shida hela yangu naitaka 🤣🤣
Hapo hasira zimekujaa sanaAki me ningemrushia kiatu huyo aliyenitambulisha kama house girl
Ndio, tutayamaliza huko nyumbani ila nitamuonyesha tu sijapenda aiseeHapo hasira zimekujaa sana
una haki ya kufanya lolote e
Matukio ni mengi mtaani🤣🤣🤣🤣
Huyo kijana jaman hafiki mbinguni
![]()
Huyo kijana jaman hafiki mbinguni




kwanza njia ya mbinguni hawezi iona.Akiuliza pesa gani, nimjibu vipi?Mtext.. mwambie samahani naomba ile Pesa🤣
Labda akupeleke Vacation Bali hukoHapana aisee
Hiyo dharau ni kubwa sana 😂😂
Ile nilikupatia janaAkiuliza pesa gani, nimjibu vipi?
Weeee akinipeleka namsamehe kwa muda 🤣🤣🤣🤣Labda akupeleke Vacation Bali huko
Yeah lazima umuonyeshe aiseeNdio, tutayamaliza huko nyumbani ila nitamuonyesha tu sijapenda aisee
Hizo dharau sio
Eeeh ndio aache utapeli, namtext hapaIle nilikupatia jana
Hahhaa mkirudi Ngoma pale pale 😂😂Weeee akinipeleka namsamehe kwa muda 🤣🤣🤣🤣
Ile harufu ya chapombe ukute anataka kukubusuuuu uwiiiii😏😏🙌🙌🙌🙌🙌! Mwanaume chapombe 🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!shida sana kuolewa na chapombe kwanza miharufu ile aisee labda awe sio mnywaji sana
arudi tena usiku wa maanane anakufokea na kukusumbua
Pole aisee 😂Nilitambulishwaaa n binamu yake, tulipotoka hapo eneo, nkamuambia haya binamu kawasalimie shangazi na mjomba, toka hapo had leo imebaki story.
Sitaki unafiki na kufake kwenye mahusiano, siweziiiiiiiiii.