Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
😂😂😂 ni huzuniiishida sana kuolewa na chapombe kwanza miharufu ile aisee labda awe sio mnywaji sana
arudi tena usiku wa maanane anakufokea na kukusumbua
Na kuna ndoa unakuta mtu anapitia hayo, na wala haondoki
