Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Yes dear upo sahihi ..Siku hazifananii 🤩🤩🤣🤣!! siku mingine nibora kulala mapema unapata muda mwingi wa kupumzisha akili!
leo nimechelewa kulala mida hii nakuwaga chumbani
Yes dear upo sahihi ..Siku hazifananii 🤩🤩🤣🤣!! siku mingine nibora kulala mapema unapata muda mwingi wa kupumzisha akili!
Lipia basi ðŸ¤ðŸ¤ ondoa hizo adsNational Anthem .. double click to subscribe 😂 to view lyrics View attachment 2410742
Mtiti mtraaamu
Bora nirudi kwa masai wanguNakupatia![]()

Kwa ninavyokudekezaNikija kupata mimba nitawanyanyasa sana humu ndani,,tutateseka wote![]()
😂😂😂 nikiokota pesa nitalipiaLipia basi ðŸ¤ðŸ¤ ondoa hizo adsView attachment 2410755
Unaongeza na yule mtanga 🤣🤗Bora nirudi kwa masai wangu![]()
Mmxxcieeewww shika adabu yako!!

Huku malawiAshindwe na alegee
Nipp dabo Mimi.
Nilikuwa singo humu nikawa napigwa tu na upepo hakuna aliyenidondokea.
Sasahivi Mama pasta nimeanza kupendeza wanajidai kunidondokea![]()
Yule atanichanganya bureUnaongeza na yule mtanga![]()

Bado namdukuaKitengo cha kujaribisha wageni selfika usituangushee!!!
Umeona eehSema handsome sana Aiseee
Hadi anasababisha sijiamini
Ni kama wale unawawekaga kwenye avatar..
Ila bonge la husband matirio,familia tumeopoa mtu na nusu![]()
NakuaminiaSisi huwa tunapita kwa kunyata yani!!

Hushushi tu, ili tufikie lengo 😀😀😂😂😂 nikiokota pesa nitalipia
My Exlililokudondokea wakati uko double


Desemba tukiendaNgoja lije kunitukana![]()
Kung'ang'aniza hapanaHawataki kuwa romantic. Kazi kung'ang'aniza eti?![]()