Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Mwanafunzi wangu hawezi nifikia😂😂Mnaenda sambamba😂😁
Mwanafunzi wangu hawezi nifikia😂😂Mnaenda sambamba😂😁
Hahah ndo muwe na kauvumilivu ss. Mtafurahi mbonaKabesaaa Joan hanaga uswahiliiiiiii
Wewe ulikua umefichwa shougaaaa ulipitwaaa ... Unajua Mwarabu????? Ndio shemela sasa!!


mlete mzunguuuuKabisa kabisaFurahi mkuu, maisha mafupi!!
Na misukuma ilivyo mishambalililokudondokea wakati uko double
Tunavumiliaa dia sema ungetuwekea saiii hata ya zamani jamaneeeHahah ndo muwe na kauvumilivu ss. Mtafurahi mbona
Woyiiiii lugha gonganaIla ukimkubali huyo blaza sangu wa arsenane utakula mema ya nchi
Hana mbambamba.

Kwanza hadi Eroni ametokeaKabisa kabisa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂Na misukuma ilivyo mishamba
Hata kutongoza haijui
Inang'ang'aniza tu
Ngoja lije kunitukana😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
Kwako Saint Anne 😄mlete mzunguuuu
Weka tu hata za zamani![]()

nakutumia bhanaa. Nikiahidi huwa natekeleza. Hata km ya zamaniHahaha, nakukubali sana mtu wangu.!!Kwanza hadi Eroni ametokea
Aisee una nyota ya juu mawinguni
Huwa hacomment hovyo,,,hebu muangalie huyu braza Kwa jicho la roho.
Braza Kuna namna umemvutia🤗Woyiiiii lugha gongana![]()
Wigelekelo ni wako na mnaendana kinounaaaa noumaaaNgoja lije kunitukana😂😂😂
Tuwekee ya zamani sasahivi tuendelee kufurahianakutumia bhanaa. Nikiahidi huwa natekeleza. Hata km ya zamani
Hahaha mahela kama yoteKwanza mguu umenona huo
Nahisi yule Baba tozo huwa anaonyesha hizi picha world bank,wanatumwagia mahela![]()