Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hongera,umepata mume mstarabu na mpole.

Pole kwanini hio hali inakutokea mara kwa mara,ni mrembo kupitiliza ama aina ya uvaaji?

Asante sana Mkuu.

Nadhani inatokea tu nipo kawaida sio mrembo na navaa mavazi ya kawaida suruali…gauni sidhani kwa mtumishi wa Umma anaweza kuvaa mavazi ya kuexpose mwili.
 
Mume wangu ni mpole sana sehemu ya kwanza akasema nyanyuka tuondoke, tukaondoka.

Sehemu ya pili ikabidi mimi ninyanyuke nikamuita Meneja why mdada anakubali kutumwa while ananiona nipo na mtu.

Sehemu ya tatu nikaishia tu kulia maana sikujua Mume wangu anafikiria nini kichwani mwake.
Mwee
Kaka wa watu mpole
 
Ni bure kabisa tulete watoto
Screenshot_2022_1104_182713.jpg
 
Back
Top Bottom