Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

wenye pete wengi wana stress wanataka faraja, sema kucheza makini sana. Ndoa zipo ICU usione watu nje wana ng'aa ukigusa tu unaenda kula .. ila mbinu za ki TISS zifanye kazi, avoid text , mawasiliano, kutumia gari yako na eneo lako, futa alama yoyote ile upitapo.. na uwe na control kwa mwanamke mbona hapa hata mwana atakuja kukulelea la junior kako
DEMU KAMA SIO MKALI ANAKAMIA UKIONA MWANA ANAJISIFU ANAKIBAMIA

UJUAJI KIBAO ATA K hujawahi kula usikute
 
Brother! Mungu kakaa pembeni na ndoa nyingi sana, na shetani katamaraki .. Niamini mie brother yanayo endelea kwenye ndoa yanaseketeshaa sana, ndoa zimekuwa motoni.. warembo hadi kuamua kutunuku na kuzaa nje sio wanapendaa ... ila ni jangaa sana.. ndoa 100% ni asilimia 20% ndio unaweza kuta zina mapafu zingine zinapumulia machine, pita ustawi, nenda makanisani vilio vya ndoa kuna wake wazuri kinoma wa watu, ukitaka ni simu moja tu😟😟😟😟 sijui ndio wanasema God forbid...
Upo sahihi kabisa, ndoa nying zipo hoi..ila tumo tunaishi nazo kibingwa🤣, muhimu tu msituchapie jamani..hahaha!!
 
Hahaha, mimi nikiona pete hata kama nilishaanza kutumia kichwa cha chini kufanya maamuzi, naahirisha hapo hapo...sitaki shari na watu hata kidogo.

Una heshima sana inapendeza kuna viumbe wa Adam hawana adabu hata kidogo.

Kuna sehemu kama tatu nishakaa na Mr….si wadau wakawatuma waiter waniletee Business card, Vinywaji mmoja akasema anaomba kulipa Bill…ya mwisho niliishia kulia maana sikujua Mr ananichukuliaje
 
wenye pete wengi wana stress wanataka faraja, sema kucheza makini sana. Ndoa zipo ICU usione watu nje wana ng'aa ukigusa tu unaenda kula .. ila mbinu za ki TISS zifanye kazi, avoid text , mawasiliano, kutumia gari yako na eneo lako, futa alama yoyote ile upitapo.. na uwe na control kwa mwanamke mbona hapa hata mwana atakuja kukulelea la junior kako

Sasa hayo sio mapenzi ni mateso jamani
 
Una heshima sana inapendeza kuna viumbe wa Adam hawana adabu hata kidogo.

Kuna sehemu kama tatu nishakaa na Mr….si wadau wakawatuma waiter waniletee Business card, Vinywaji mmoja akasema anaomba kulipa Bill…ya mwisho niliishia kulia maana sikujua Mr ananichukuliaje
Interesting...
Mr. Akurusha ngumi?
 
Una heshima sana inapendeza kuna viumbe wa Adam hawana adabu hata kidogo.

Kuna sehemu kama tatu nishakaa na Mr….si wadau wakawatuma waiter waniletee Business card, Vinywaji mmoja akasema anaomba kulipa Bill…ya mwisho niliishia kulia maana sikujua Mr ananichukuliaje
Aiseee watu Wana dharau
Hao Mr akiwakamata ni kunyongwa tu!
 
Interesting...
Mr. Akurusha ngumi?

Mume wangu ni mpole sana sehemu ya kwanza akasema nyanyuka tuondoke, tukaondoka.

Sehemu ya pili ikabidi mimi ninyanyuke nikamuita Meneja why mdada anakubali kutumwa while ananiona nipo na mtu.

Sehemu ya tatu nikaishia tu kulia maana sikujua Mume wangu anafikiria nini kichwani mwake.
 
Mume wangu ni mpole sana sehemu ya kwanza akasema nyanyuka tuondoke, tukaondoka.

Sehemu ya pili ikabidi mimi ninyanyuke nikamuita Meneja why mdada anakubali kutumwa while ananiona nipo na mtu.

Sehemu ya tatu nikaishia tu kulia maana sikujua Mume wangu anafikiria nini kichwani mwake.
Pole sana, huo ni udhalilishaji. Bahati nzuri upo na mume muelewa, mwingine kama sie ungewashwa moto wa kwenda.
 
Ntuyadili unaelekea wapi kati ya hizi
411E7663-8D22-4449-96EC-CCFF06B59E66.jpeg


au

0DE09105-FFF2-4FBC-AE46-76F28090AA38.jpeg
 
Mume wangu ni mpole sana sehemu ya kwanza akasema nyanyuka tuondoke, tukaondoka.

Sehemu ya pili ikabidi mimi ninyanyuke nikamuita Meneja why mdada anakubali kutumwa while ananiona nipo na mtu.

Sehemu ya tatu nikaishia tu kulia maana sikujua Mume wangu anafikiria nini kichwani mwake.
Hongera,umepata mume mstarabu na mpole.

Pole kwanini hio hali inakutokea mara kwa mara,ni mrembo kupitiliza ama aina ya uvaaji?
 
Back
Top Bottom