Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,561
- 23,991
Nkamu huyooo
Una saa nzuri
Nkamu Gwangu
nimekumiss Mama angu

Asante Nkamu
Nkamu huyooo
Una saa nzuri

Kama wewe tu chiefKumbe una ka wivu wivu
Cc😡Saint Anne
anahutubia alafu kwa Mic 😐😐 enaumaaa sanaaaa selfi kaona hatufai kakimbia kwa mgeniKwamba
Sista anacheza na Libolo Fc
Mchana huu hapo sebuleni stadium![]()



Kakake usimsikilize huyo, hanitakii memaKwamba
Sista anacheza na Libolo Fc
Mchana huu hapo sebuleni stadium![]()
Baada ya half day tukae sehemu vere local na kula mbuzi...eeh mbuzi na mvinyo uliobarikiwa na bwana!! sixView attachment 2406633






ac , feni upepo wa bahari ni kuhubiri tu na micJua bado kali, nikilowa jua litanikausha
Pensi iyo kamandaNaona unaipiga ukiwa uchi![]()
Unajua wewe sio mzima😂😂ac , feni upepo wa bahari ni kuhubiri tu na mic
...eeh uweke wazi mapema mkuu, wakulungwa wakiona peteless wanakuwa motivatedipo ila niliisahau asubuhi kuvaa![]()


ndio imeanza kwenye kochi 😦😦😦Unajua wewe sio mzima😂😂
Em fanya kazi huko, me weekend ishaanza kitambo
Niliianzia beach kula mihogondio imeanza kwenye kochi 😦😦😦
Eeh mkuu, hapa zinajaa gari ikifika saa kumi hata parking hamna. Watu wanapenda kufurahi jamani acha kabisa.Bora hata nyie mna half day
hapo pa mbuzi sasa![]()
Kosa atalijua akishakula kipigoKafanya kosa gani kwani
kitu cha muhogo wa kipakistanii hii mwanawaneNiliianzia beach kula mihogo
Huo ni uonevu ujueKosa atalijua akishakula kipigo
inakuwa fullsana 😁😁😁...eeh uweke wazi mapema mkuu, wakulungwa wakiona peteless wanakuwa motivated![]()
Hatari lakini salamakitu cha muhogo wa kipakistanii hii mwanawane
ulikaa au ulisimama wakati unakulaHatari lakini salama