Naja kukuna mguu na brush nzurii 🙂🙂Marahaba, hujambo
Hahhahaha leo sipo huko kaka niko huku ndani ndani🙂🙂🙂 Nimeokokaa bahati nzuri shetani ataniskia kwa bombaa tu.. leo ndio ulisema unapita m city kufanya shopping .. nipo hapa nimevaa uniform za walinzi geti la upande wa kuingia bank ya nbc
Nilikaokota basha kigamboni alinipelekea moto shost
Sikujua kama leo ningeenda, jana nilikuwa na mkesha kanisani, tumetoka alafajiri 🙂🙂 nampenda Yesu nimekoka.. basi next week.. na ka mshahara kakihindi katakuwa kametoka.. nitakufanya suprise hata ya ice cream 🤣🤣🤣Hahhahaha leo sipo huko kaka niko huku ndani ndani
Sasa si ungenipanga mapema
walahi mgetangaza tanzia mwaka huu mtaro wangu unawasha
Ngoja nmalize kuwacheki GEITA wakimfumua mtuEeeh tutaweka matokeo humu boss unatumia console gani
Worry out!Aahh sawa naisubiri kwa hamu
Hallelluya bwana ahimidiwe mtumishi😆😆😆😆😆amina kuokokaSikujua kama leo ningeenda, jana nilikuwa na mkesha kanisani, tumetoka alafajiri 🙂🙂 nampenda Yesu nimekoka.. basi next week.. na ka mshahara kakihindi katakuwa kametoka.. nitakufanya suprise hata ya ice cream 🤣🤣🤣
Amen, mwana wa Mungu. jisikie huru mda wowote nipo mpendwaa, nishtue tutaenda ibadani utachagua ibada ya lugha ya kichina, English, ki French au kiswahili ... niambie mapema ili niandae logistics zote.. Mapendo Daiam, daima mapendo.. Mwanakondooo 🙂🙂Hallelluya bwana ahimidiwe mtumishi😆😆😆😆😆amina kuokoka
Naomba next week unibebe niende na wew kanisani kwenu nipate wokovu
Sawa bas next week ntakushtua kaka
Hehehehe..khaaa!!jamani
Meshaona mkuu nashukuru, si shaka huyu bwana atakuwa ana ttz la umeme kichwa kama sio atakuwa upande wa piliUsijibishane na uyo utapoteza muda tuu
Hiyo ni uongo bana😆😆😆mara bwana Yesu asifiwe mara nini😆😆stak tena na makanisa yenu… wokovu wenu wa mchongoAmen, mwana wa Mungu. jisikie huru mda wowote nipo mpendwaa, nishtue tutaenda ibadani utachagua ibada ya lugha ya kichina, English, ki French au kiswahili ... niambie mapema ili niandae logistics zote.. Mapendo Daiam, daima mapendo.. Mwanakondooo 🙂🙂
Hahaha achana naeMeshaona mkuu nashukuru, si shaka huyu bwana atakuwa ana ttz la umeme kichwa kama sio atakuwa upande wa pili
AbeeNaja kukuna mguu na brush nzurii 🙂🙂
umetaja margarita umenirudisha miaka mingi na Maureen pale JB Belmonte 🥲🥲🥲🥲... tupange ratiba ijuumaa au alhamisi mapemaaa..Hiyo ni uongo bana😆😆😆mara bwana Yesu asifiwe mara nini😆😆stak tena na makanisa yenu… wokovu wenu wa mchongo
Hhhahaha ipange logistics vizuri tufanye kapizza bbq au margarita😆😆
hutaki nikukune 🙂🙂🙂 bure tu na kukusafisha kucha miguu na mapaja bure tuuAbee
Vya bure ghali 😁hutaki nikukune 🙂🙂🙂 bure tu na kukusafisha kucha miguu na mapaja bure tuu
basi utanilipa chochote kitu, si unajua tena mie na wewe hatuna bayaaaVya bure ghali 😁