Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

ana maamgaiko na maisha yake, anashindwa kupambana nayo analeta makasiriko huku, ilihali kila mtu ana yake humu ndani ila tunajikaza kama binadamu wenye akili timamu.

Maxence Melo angalieni feature ya ku edit comment, kuna issue serious watu watafanya edit na kuharibiana leo hii mambo ya kawaida haina shida sana. lakini kuna siku mtu ata edit comment alafu yaweza leta shida na has ukute og comment imefutwa
Solution ni moja
Kutomjibu aachwe hapo tuone atajibishana na nani
 
IMG_20221029_091408_984.jpg

Kuna watu wanadhani ukiwa Mzee Kama Mimi unastaafu na utafutaji, kumbe tunatakiwa kuendelea kutafuta hadi mwisho🤪

Hello weekend 🥂
 
Back
Top Bottom