Tulia braza atusimulie kwanza alivyokuota
Tuna shauku ya kufahamu😜
Tuna shauku ya kufahamu😜
Kwanza ngoja nikuulize;
Hivi sisi wa airtel na voda tumekukosea nini Mjep?
Kwanza ngoja nikuulize;
Hivi sisi wa airtel na voda tumekukosea nini Mjep?
Aisee siwezi hata kusimulia...Umemuotaje?
Tusimulie kidogo
Braza umetukatili sanaAisee siwezi hata kusimulia...
Unajua kurembua we mtoto, halafu una aibu ..Ukaota hadi sura?Au ulikuwa unaota unaota jua na ID ya st Anne
Rudisha ile ya jamaa mwenye manywele ya enzi unatutambia humu na pisiyako kali.
🙏🙏Mungu ni mwema jirani
huwa ni route yanguMie mzima, nilikuona mitaa ya Ubungo..
Yaani we hujui tu mbona mi nakuona mara kibao, kuna siku nilikuona maeneo ya Tazara kule nahisi ulikuwa unatoka sokoni..huwa ni route yangu
ulinionea kwa wapi ?
Tazara sijapita mudaYaani we hujui tu mbona mi nakuona mara kibao, kuna siku nilikuona maeneo ya Tazara kule nahisi ulikuwa unatoka sokoni..
Aisee ndoto yako imekupeleka Chaka kabisa,,Nilivyo na macho makali ya kutishia watoto kama Undertaker..Lala uotee tena.Unajua kurembua we mtoto, halafu una aibu ..
Mbinguni hutakaa jirani na mimiTulia braza atusimulie kwanza alivyokuota
Tuna shauku ya kufahamu![]()

Hello Anne 👋Aisee ndoto yako imekupeleka Chaka kabisa,,Nilivyo na macho makali ya kutishia watoto kama Undertaker..Lala uotee tena.
Huyu Pilot wa hii Avatar ndiye ninayemjua sasa😍
Wewe acha bwana kuna siku za nyuma nilikuona unatoka vetenari bwana kuhemea.. nikaone nisikustue..Tazara sijapita muda
ungeniambia umeniona kwenye mwendokasi kimara .
Hallo Mamy,Hello Anne![]()
Unapatia kidogoWewe acha bwana kuna siku za nyuma nilikuona unatoka vetenari bwana kuhemea.. nikaone nisikustue..
Poa , mzimaHallo Mamy,
Mambo
Mungu ni mwema.Poa , mzima
Ndoto haijawahi nidanganya, aani unarembua sio poa..Aisee ndoto yako imekupeleka Chaka kabisa,,Nilivyo na macho makali ya kutishia watoto kama Undertaker..Lala uotee tena.
Huyu Pilot wa hii Avatar ndiye ninayemjua sasa😍
nzuri dearMungu ni mwema.
Za Daslam,?
Chaaaa!!!Ndoto haijawahi nidanganya, aani unarembua sio poa..
Niliona jana Mshana alipost ratiba ya mgao wa maji.nzuri dear
shida tu ya maji
yasipotoka kesho sijui jamani .
tuombee Mvua inyeshe