Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Sina picha mpyaHebu tupia kwanza nikuone
tukuone wewe kwanza pilot
Sina picha mpyaHebu tupia kwanza nikuone
TatutakiWatu wangu wa nguvu wa Airtel tulieni promotion yenu inakuja itakua ni baab kubwa
Tukaendeleze ukoo mmojaaisee mambo hayo 🥳
mwaka huu napata babe aisee 😂😂
😍😍Tukaendeleze ukoo mmoja
Yaani leo ulikuja vizuri ila ushaivuruga CV uliyoijenga leo leo!Hapo najua ushaanza kuchukia, yaani unapenda picha we mtoto sijui kama nini tu..
Nakutumia tulia..
Na watu wote waseme Ameeen😍😍
hakika dear , tukajaze ukoo huko IJN
AmenNa watu wote waseme Ameeen
Ndo kwanzaaa inazidi kunogaAmen
semina imeisha huko ?
Yupo vizuri huyo BabaNdo kwanzaaa inazidi kunoga
Bado siku 2 ;kesho na keshokutwa.
Mwakasege ni mtu na nusu.
SanaaYupo vizuri huyo Baba
Mungu azidi kumtumia zaidi na zaidi ..
Hiyo ni baraka kweli kweli .Sanaa
Napenda anavyolichambua Neno..
Yaani nikifika hata theluthi ya huyu Mzee kwenye Maarifa ya Biblia aisee sijui nitajisikiaje.
Usinune mtoto mzuri, yani kisa picha unanuna?Yaani leo ulikuja vizuri ila ushaivuruga CV uliyoijenga leo leo!
Nimenuna,mdomo unataka kudondoka.
Iko wapi?Usinune mtoto mzuri, yani kisa picha unanuna?
Leo akawa anahadithia kwanini hakwenda kusomea UchungajiHiyo ni baraka kweli kweli .
Kuna watu wanajua kuhubiri jamani
muombe Roho mtakatifu akuongoze katika hilo 😍.
ooh wow ,Leo akawa anahadithia kwanini hakwenda kusomea Uchungaji
Ndiyoooh wow ,
somo lilikuwa zuri eeh
Ngoja natafuta picha za kuweka usiondoke..Iko wapi?
Bora mtu anipige kuliko kuninyima picha
ooh kitakuwa kizuri sana hicho kitabu.Ndiyo
Ila hiyo klikuwa ni short brief ya kitabu chake alichokiachia leo
Siondoki ila usiniwekee emoj tafadhaliNgoja natafuta picha za kuweka usiondoke..
siweki emoji..Siondoki ila usiniwekee emoj tafadhali