Yapeleke bwana.. yanakuharibia muonekano hapo ndani..Dah! U bachelor shida sana mda wa kukumbuka kuyapeleka nje ni tabu ila Leo nitalifanyia kazi.
Nilitaka kushangaa chawa sina habari heee🤣🤣😂😂😂😂🙌 ndio huyo huyo bana
Mguu softiiiii
Noted madam D.Yapeleke bwana.. yanakuharibia muonekano hapo ndani..
Aisee
Nigawie hizo money
Wapi huko?1kg = 5000 ukishindwa kula nyama huku umejitakia
helloWanajukwa heri humu ndani ?
Bila kumsahau baby [mention]Tinsley [/mention]na Aunt lao [mention]Antonnia [/mention] na wengine wooote.
Babu you look so smart.View attachment 2396229
Hello Monday 🥂
Hahaha.........ukipata likizo uje huku Kijijini Bibi yako akupe mbinu, manake kuna Kijana alitaka kuleta Posa yako lakini shida yake anavaa Mashati meupe kila siku, jitahidi uweze ili tuipokee Posa yake 🤗Babu you look so smart.
Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama bibi 😊 Nitakatishe shati jeupe hivyo
hello




ana komwe Ila hana kitambi habari ya JtatuHelloo too chibonge wangu
Babu likizo mbali, kesho tu naomba emergency leave nije huko.Hahaha.........ukipata likizo uje huku Kijijini Bibi yako akupe mbinu, manake kuna Kijana alitaka kuleta Posa yako lakini shida yake anavaa Mashati meupe kila siku, jitahidi uweze ili tuipokee Posa yake 🤗
Atafurahi kukuona, ngoja nimwambie kuhusu ujio wako akuandalie Kuku wa kukuchinjia.Babu likizo mbali, kesho tu naomba emergency leave nije huko.
Aki hukukosea kumchagua bibi 😍, naomba ukirudi jioni umbebe kazawadi japo kadogo kwa kuappreciate mema yake kwako