Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,329
- 176,110
Mkwe huna kumbukumbu, tulikuwa tunaongelea upole sio sauti.
Inayokoroma.Ulisema una sauti ya upole lakini siyo mpole,, yes??



mimi siyo mtoto mwenzio ujueDuuuh!! Hivi vitoto vya siku hizi taabu tupumimi siyo mtoto mwenzio ujue
Ila wee huwanga unajipata ni mzae

Em tuma tena hiyo picha bana. Mbona huna haibaMkwe hebu kalale.
Ingia kule kuna ujumbe wako..
Kesho naanza kukuunga juhudi cheusi mwenzangu na haibaVyeusi mangala tuliwakosea nini jamani![]()
wewe umesema kweli, ila sio mweusi sana na imani utakuwa umenenepa kwa sasaKesho naanza kukuunga juhudi cheusi mwenzangu na haiba
Mmmmh!! Tangu useme hata hutimizi ahadiKesho naanza kukuunga juhudi cheusi mwenzangu na haiba

Nilisema ya upole sio nyembamba, cute b kakudanganya.kwamba kuna mtu ana sauti nyembamba halafu inakoroma??
Duuuh!! Hivi vitoto vya siku hizi taabu tupu
Unamfahamu Julius Mtatiro?
Kesho naanza kukuunga juhudi cheusi mwenzangu na haiba
Kumbe unamsikiaMtoto? Wa miaka mingapi??
Yeap namsikia


Niko huku matakoni mwa mji!!
Unakuja pm kufanya nini sasa??
Mkwe huna kumbukumbu, tulikuwa tunaongelea upole sio sauti.