Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
I get waisted aiseeusinywe pekee yako.
I get waisted aiseeusinywe pekee yako.
Toa toaa moyo Uwe mwepesi mdogo wangu 😘I miss u dear
Dada nataka nitoe ya moyoni Leo🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Tunasubiri🥰
Hivi Mjep unakwama wapi kwa huyu Mrembo?Salama aunt yangu sophy27
Shikamoo
Nipo poa vipi wewePoa mzima
Tiririka Auntie
Sema wewe kiaziiiii Nikisema mie muhogo.....😂😁Hivi Mjep unakwama wapi kwa huyu Mrembo?
Aunt aligoma alisema mimi siwezi kuwa Anko nikabaki nimeduwaaaHivi Mjep unakwama wapi kwa huyu Mrembo?
Mi nawashangaa sijui mnacheleweshana wapiAunt aligoma alisema mimi siwezi kuwa Anko nikabaki nimeduwaaa
Hapa namsubiri chimamy wangu Alayna tu na yeye akinimwaga nimekwishaaaa
Wana pigo za miaka ya 90Kuna ndugu zetu tunasoma wote vidudu huko ndo hatufaulu wenzetu mnaenda huko tukikutana wanajifanya hawajui kiswahili 😂😂😂😂
Yani mtu anakupigia simu anajifanya kiingereza et hajui kiswahili hiv mnatukuchukuliaje sie la Saba B😂😂😂😂Kwamba ndo wanakuwa mmesoma uingereza ama 😂😂
Mazoea/makuzi labda ila wengine ujuaji usanii / show off tu!Kuna ndugu zetu tunasoma wote vidudu huko ndo hatufaulu wenzetu mnaenda huko tukikutana wanajifanya hawajui kiswahili 😂😂😂😂
Yani mtu anakupigia simu anajifanya kiingereza et hajui kiswahili hiv mnatukuchukuliaje sie la Saba B😂😂😂😂Kwamba ndo wanakuwa mmesoma uingereza ama 😂😂
Kwa hili gauni bibi harusi atizamwe afya ya akili 😆
😂😂😂Nataka nitukane mtu tusi la maana nione kama hatanirudishia 🤣🤣Wana pigo za miaka ya 90
Mimi nikikutana na schoolmate wangu natandika kilugha Cha kikabila safii..achana na kiswahili
Auntie naye mzembe kweliSema wewe kiaziiiii Nikisema mie muhogo.....😂😁
🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️ aunt na wewe unatukana?😂😂😂Nataka nitukane mtu tusi la maana nione kama hatanirudishia 🤣🤣
Huyo mwache aongee pekeyake😂😂😂Nataka nitukane mtu tusi la maana nione kama hatanirudishia 🤣🤣