Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna ndugu zetu tunasoma wote vidudu huko ndo hatufaulu wenzetu mnaenda huko tukikutana wanajifanya hawajui kiswahili

Yani mtu anakupigia simu anajifanya kiingereza et hajui kiswahili hiv mnatukuchukuliaje sie la Saba BKwamba ndo wanakuwa mmesoma uingereza ama
Uongo mbaya,, kuna mahali ikifika kuna watu hawawezi kuwa fluent kwenye kiswahili hasa kuongea
 
Jamani kwamba shangazi nae yuko vizure kwenye Kizungu 😁😁😁😂!!
Hizo sifaaa au ndio kama uvosema keshakua mbelgiji na kiswahili hakijui 😁😁😂!
Jamani kwamba shangazi nae yuko vizure kwenye Kizungu 😁😁😁😂!!
Hizo sifaaa au ndio kama uvosema keshakua mbelgiji na kiswahili hakijui 😁😁😂!
Nikashauri sikunyingine akimuona amuite apige bia mbili fasta waanze kuzungumza 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom