Mdogo wangu leo kweli umetupia vitu vyakoAuntie naye mzembe kweli
Ningekuwa mm ni yeye ningekuwa nisharuka naye kitambo
Aliye karibu na wewe akunyang'anye hiyo simu tafadhali
Mdogo wangu leo kweli umetupia vitu vyakoAuntie naye mzembe kweli
Ningekuwa mm ni yeye ningekuwa nisharuka naye kitambo
Tunazidi tu kuongeza idadi ya majinaNakaziaaaa Akija plus kusema anamjua Bosi ledi nmniite mbwaa pro max 😂😁😁
🤣🤣🤣Hebu muite aje hapa nione kama nammudu😂😂Auntie naye mzembe kweli
Ningekuwa mm ni yeye ningekuwa nisharuka naye kitambo
Cc MahondawNakaziaaaa Akija plus kusema anamjua Bosi ledi nmniite mbwaa pro max 😂😁😁
Najiuliza sipati majibu.Mdogo wangu leo kweli umetupia vitu vyako
Aliye karibu na wewe akunyang'anye hiyo simu tafadhali
Fanya hivo tuone 😂😂😂!😂😂😂Nataka nitukane mtu tusi la maana nione kama hatanirudishia 🤣🤣
Situkani aunt nitamjibu waooh😂😂🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️ aunt na wewe unatukana?
Uongo mbaya,, kuna mahali ikifika kuna watu hawawezi kuwa fluent kwenye kiswahili hasa kuongeaKuna ndugu zetu tunasoma wote vidudu huko ndo hatufaulu wenzetu mnaenda huko tukikutana wanajifanya hawajui kiswahili
Yani mtu anakupigia simu anajifanya kiingereza et hajui kiswahili hiv mnatukuchukuliaje sie la Saba BKwamba ndo wanakuwa mmesoma uingereza ama
![]()
Aunt Mimi namuona nasikia nayeye kasoma ubeljigi tutaelewana kweli 😂Huyo mwache aongee pekeyake
Asikunyonye damu Bure aunt wetu.
Hivi Auntie,,humuoni Mjep?
Jamani ndo ukutane na shangazi yangu uongee nae kiingereza alisoma wapi😂😂😂Uongo mbaya,, kuna mahali ikifika kuna watu hawawezi kuwa fluent kwenye kiswahili hasa kuongea
Mtu kakutana na shangazi yangu anaongea nae kiingereza kweli😂😂😂Fanya hivo tuone 😂😂😂!
Jamani kwamba shangazi nae yuko vizure kwenye Kizungu 😁😁😁😂!!Mtu kakutana na shangazi yangu anaongea nae kiingereza kweli😂😂😂
😂😂😂Yani kanikwaza mno 😂Jamani kwamba shangazi nae yuko vizure kwenye Kizungu 😁😁😁😂!!
Hizo sifaaa au ndio kama uvosema keshakua mbelgiji na kiswahili hakijui 😁😁😂!
Hyo ya kuongea English tupu na shangazi hzo pigo za kichoko,, lakini kuna watu akijaribu kuongea kiswahili tupu utamuonea hurumaMtu kakutana na shangazi yangu anaongea nae kiingereza kweli![]()
Sio Muhaya huyo kweli?? Make wengi wao ndio wakitoka kidogo akirudi mtakomaa😂😂😂Yani kanikwaza mno 😂
Jamani kwamba shangazi nae yuko vizure kwenye Kizungu 😁😁😁😂!!
Hizo sifaaa au ndio kama uvosema keshakua mbelgiji na kiswahili hakijui 😁😁😂!
Nikashauri sikunyingine akimuona amuite apige bia mbili fasta waanze kuzungumza 😂😂😂😂Jamani kwamba shangazi nae yuko vizure kwenye Kizungu 😁😁😁😂!!
Hizo sifaaa au ndio kama uvosema keshakua mbelgiji na kiswahili hakijui 😁😁😂!
😂😂😂🤣🤣 Unaniua mbavuu mdogo wangu huyo mzungu koko atoe ushamba wakee huko!!Nikashauri sikunyingine akimuona amuite apige bia mbili fasta waanze kuzungumza 😂😂😂😂
Aise mazoea mabayaHyo ya kuongea English tupu na shangazi hzo pigo za kichoko,, lakini kuna watu akijaribu kuongea kiswahili tupu utamuonea huruma
Nipo haapaa nawasubiriii😁😁😁Sawasawa
Tunazidi tu kuongeza idadi ya majina
Tukianza kuyaropoka ukavumiliage tu
Kichoko ni tusi Sio vizuriHyo ya kuongea English tupu na shangazi hzo pigo za kichoko,, lakini kuna watu akijaribu kuongea kiswahili tupu utamuonea huruma