Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Can't wait Kaka , nisikie hiyo sauti tamuNitakupigia leo unisikilize mdogo wangu
Mama mchungaji leo umetupia vyombo wallah, mbona umeanza weekend mapema hivi?🤣🤣🤣🤣
Can't wait Kaka , nisikie hiyo sauti tamuNitakupigia leo unisikilize mdogo wangu
Mama mchungaji leo umetupia vyombo wallah, mbona umeanza weekend mapema hivi?🤣🤣🤣🤣
Tushapewa alert usiwe kwenye siku mbaya utaloa na hujaguswa T 😂🤭🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️!!Can't wait Kaka , nisikie hiyo sauti tamu
Weh ngoja nisubiri anipigie ,Mno aisee
Usije ukampigia siku mbaya
Utaitamani bure
Akiyanani Tena.Weee sema kweli Anne??? Jamani umenitamaanishajee kumsikia mr vochaa! 🤔🤔
Hahhahaaa aisee 😂😂Tushapewa alert usiwe kwenye siku mbaya utaloa T 😂🤭🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️!!
Cc Saint Anne 😄😄
Utatamani akupigie kila sikuWeh ngoja nisubiri anipigie ,
Niisikie
Shauri zenu🤣🤣🤣Tushapewa alert usiwe kwenye siku mbaya utaloa na hujaguswa T 😂🤭🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️!!
Cc Saint Anne 😄😄
Na nilivyo mpweke sasa 😂😂Utatamani akupigie kila siku
Mweh Mimi nipo single 😂😂Shauri zenu🤣🤣🤣
Kama upo singo usiongee naye
Mwaka huu atajinyonga Kwa wivu na gusauti gwake gwa Kisukuma🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣 Kikao kijacho kinakuhusuuu mr vochaa Wigelekelo keshatoa Alert 😂😂🤣🤣!
Wameipamba sana hamna kituCan't wait Kaka , nisikie hiyo sauti tamu
Yawezekana ndio safari ya kuelekea daboMweh Mimi nipo single 😂😂
Kwa hiyo unanipa ushauri upi
Pm yangu ina matatizo Kweli mr vocha naachaje kutaka kusikia sauti ya kumtoa nyoka pangoni mimi jamani!!😉😉Madam hii ni fursa ya wewe kunifungulia hiyo pm jamani kila nikijaribu nakuta solex kubwaaaaaaa
Lisemwalo ujue lipo , sauti tamu 😂Wameipamba sana hamna kitu
Utamu wa sauti uko sikioni kwa msikilizaji
Huyo Saint Anne usimsikilize
Uzuri sikio langu huwa halikoseiWameipamba sana hamna kitu
Utamu wa sauti uko sikioni kwa msikilizaji
Huyo Saint Anne usimsikilize
Boss lady na wewe umeshatupia vitu vyako ee?🤣🤣🤣🤣Tushapewa alert usiwe kwenye siku mbaya utaloa na hujaguswa T 😂🤭🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️!!
Cc Saint Anne 😄😄
AngalizoNa nilivyo mpweke sasa 😂😂
Atanichoka 😂😂
😂😂😂🤣Mwaka huu atajinyonga Kwa wivu na gusauti gwake gwa Kisukuma🤣🤣🤣🤣
Mtoto wa kiume legeza sauti kiasi
Kaka mjep yupo double tayari ,Yawezekana ndio safari ya kuelekea dabo
Single ni hatari kwa afya..
Tuachieni dabo tumsalimie.