Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Hahahahahahaha
Leo nina furaha tafikiri nimeonja kilaji 😂😂
Hahahahahahaha
Ndiiioooo...ndioooo!!!!Priorities zenu tu
Na hofu ya Mungu ikisimama basi.
Pia Malengo mliyojiwekea ..
Mungu anabariki pale mnapofuata misingi yake.
Kusaidiana kama binadamu kupo.
hahahaha,itakua umeonjaHahaha
Leo nina furaha tafikiri nimeonja kilaji 😂😂
Hapana rafikihahahaha,itakua umeonja
He is a muzungu by heart and character mumuwachee mr vocha atusaidie vocha sie pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!Safari hii tutakufata na mateke
Weeee sema kweli 😉😉! Aririririririiiiiiiiiii..... Mahaba nipofueee😍😍 wauweeeehhhhh 💃! Hongera sana dear. EnjoyMweh nishapotezwa 😂😂😂
Mapenzi ni balaa
Nitulie zangu mie
nitakusaidia kutembeaHapana rafiki
Nikionja hata sitaweza kutembea .
Kuna muda anapelekwaga mnoHe is a muzungu by heart and character mumuwachee mr vocha atusaidie vocha sie pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Ngoja tuone picha halisiNdiiioooo...ndioooo!!!!
Wakati huo ili cc ilikua imekuteka huambiliki wala husikii ya mnadi swala🤣🤣🤣🤣Uzee mdogo wangu uzeee. wee mr vocha kumbe nishakomentigi hadi kwenye uzi wako na hunikumbushi mie najua nimekufahamu selfika tu kha
Aweeeeeee!! Nani anataka kumpelekesha mr vocha wetu nyieee👈👈👈👈👈! Mateke kama yale yatamuhusuuu!Nkamu akee Hivi Mr vocha ni mpole sana eeh?? Natamani nimuoneee😉😉Kuna muda anapelekwaga mno
Anafokewa
Asante umesema😂😂😂Wakati huo ili cc ilikua imekuteka huambiliki wala husikii ya mnadi swala🤣🤣🤣🤣
Aisee ile cc irudiwe tu tafadhali
Ngoja nimtag hapa mzee wa mambo yenu tuwaachie wenyewe😁
Alishafokewaga Nkamu wetuAweeeeeee!! Nani anataka kumpelekesha mr vocha wetu nyieee👈👈👈👈👈! Mateke kama yale yatamuhusuuu!Nkamu akee Hivi Mr vocha ni mpole sana eeh?? Natamani nimuoneee😉😉
😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂Mtag Akija hapa niite mbwaaaa mr vocha nimekaa paleee in putins voice 👉👉👉👉😄😄😄😄😄😄!Wakati huo ili cc ilikua imekuteka huambiliki wala husikii ya mnadi swala🤣🤣🤣🤣
Aisee ile cc irudiwe tu tafadhali
Ngoja nimtag hapa mzee wa mambo yenu tuwaachie wenyewe😁
Nina wake wawili madam na watoto watatu wawili warembooo kama mama zao na mmoja dume sura ya baba yake copy and Paste🤣😁Sie tunajua uko singooo huko kuwowa sio shida zetuuu usututanieee uko singoooo mr vocha😁😁😁
😂😂😂😄😄😄😄Jf idumuuuuuuuu 💃💃💃💃!Asante umesema😂😂😂
Nilitaka nisema alikuwa bizi na CC atakumbukaje majina ya kina FARU KHADIJA🤣
Nikisinzia jenitakusaidia kutembea
Wee noma sana mr vocha hongera mno na safi sanaaa✌️ Nafurahi kusikia hiloo mr Vocha watoto ni baraka na familia ni muhimu sanaaaa! Big up bosi vocha!✌️✌️Nina wake wawili madam na watoto watatu wawili warembooo kama mama zao na mmoja dume sura ya baba yake copy and Paste🤣😁
Mweh dear hongera hiyo sio yanguWeeee sema kweli 😉😉! Aririririririiiiiiiiiii..... Mahaba nipofueee😍😍 wauweeeehhhhh 💃! Hongera sana dear. Enjoy