Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,994
- 48,498
🤣🤣🤣Niliona mmesinzia nikaona niwaletee story mfurahi mm nilicheka Hadi machozi😂😂😂🤣🤣 Unaniua mbavuu mdogo wangu huyo mzungu koko atoe ushamba wakee huko!!
🤣🤣🤣Niliona mmesinzia nikaona niwaletee story mfurahi mm nilicheka Hadi machozi😂😂😂🤣🤣 Unaniua mbavuu mdogo wangu huyo mzungu koko atoe ushamba wakee huko!!
Hakii Nimecheka mpaka basi naimagine shangazi mtu akiongea kingreza🤣🤣🤣!!🤣🤣🤣Niliona mmesinzia nikaona niwaletee story mfurahi mm nilicheka Hadi machozi
Sio Muhaya huyo kweli?? Make wengi wao ndio wakitoka kidogo akirudi mtakomaa
Hata siko serious dada,, mbona choko sio tusi,, ila ni tabiaKichoko ni tusi Sio vizuri
Mimi napenda utani sana sijaleta hii story Kwa kumsema mtu mwenyew naongea kiingereza sana tu
Usiwe serious hivo kaka
SawaHata siko serious dada,, mbona choko sio tusi,, ila ni tabia
Mjep unaitwa na madamSaint Anne na Mjep naenda kupika ila bado nawasubiria hapaa pembeni ya jiko🙇🙇🙇
Aunt sophy27 kumbe unanipenda na hunambii??Najiuliza sipati majibu.
Amakazana Aunt Aunt..we husband matirio unamwitaje Auntie?
Thubutuuuu
Mm huwa sijaribu hata kuita kaka mtu ninayempenda.
🤣🤣🤣Ukute shangazi meno HanaHakii Nimecheka mpaka basi naimagine shangazi mtu akiongea kingreza🤣🤣🤣!!
Aunt Mie nasubiria waniite mbwaaa niitike" WOUU WOOUU"😄😂Mjep unaitwa na madam
Na kingereza chako kimenyooka aunt hasa ukitupia vitu vyakoKichoko ni tusi Sio vizuri
Mimi napenda utani sana sijaleta hii story Kwa kumsema mtu mwenyew naongea kiingereza sana tu
Usiwe serious hivo kaka
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂Nikapike mimi Sophy Mbavu zangu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!🤣🤣🤣Ukute shangazi meno Hana
Nasema hapanaUongo mbaya,, kuna mahali ikifika kuna watu hawawezi kuwa fluent kwenye kiswahili hasa kuongea
Bora hata umesema mama Junia mm kuniita aunt wakati bint kabisa under 40 damu inachemkaNajiuliza sipati majibu.
Amakazana Aunt Aunt..we husband matirio unamwitaje Auntie?
Thubutuuuu
Mm huwa sijaribu hata kuita kaka mtu ninayempenda.
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂Nikapike mimi Sophy Mbavu zangu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Honey bee😍Bora hata umesema mama Junia mm kuniita aunt wakati bint kabisa under 40 damu inachemka
Honey
Honey bee
Sweetheart
My love
Rouhy
Yote haya aniite aunt kweli ananikwaza sana jamni nachoka 😭 akishindwa kwakuwa kibonge aniite hata gunia la mchele sio mbaya😂
Koh Koh Koh aunt wew 😂 unaongea ukweli kabisaNasema hapana
Tena hapanaaaa
Wanavunga tu mkuu wangu
Lile li profesa Muhongo limekaa ulaya huko miaka tele lakini linapiga kiswahili vizuri tuu tena kimenyooka chief
🤣🤣🤣Gunia la mchele Ina unyama mwingi MwaisaHoney bee😍
Gunia la mchele🥰
Leo selfika imechangamka balaaa🤣🤣🤣Gunia la mchele Ina unyama mwingi Mwaisa