Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,315
Ndiomana nasema bora moyo wa ki mafiaaaa!! Vovote itavokua wee fureshi tu ! Akija sawa akizingua pia yote kheriii huumii wala nene!!Kila muda ni stress tu .unawaza mtu anakuibia huko
Ndiomana nasema bora moyo wa ki mafiaaaa!! Vovote itavokua wee fureshi tu ! Akija sawa akizingua pia yote kheriii huumii wala nene!!Kila muda ni stress tu .unawaza mtu anakuibia huko
Hakuna shida
Mara moja tu inatosha
Mmoja alisema Faru Khadija🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe ulishaufukunyua 🤣🤣🤣
Wewe ni hatarii
Ndo uwe nao aisee la sivyo utaishia kulia tu .Ndiomana nasema bora moyo wa Mi mafiaaaa!! Vovote itavokua wee fureshi tu ! Akija sawa akizingua pia yote kheriii huumii wala nene!!
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂! Kwa staili hio Utakondaaaaa utakaa kwa presha na kujitafutia stress za rejareja bureeeee! Msiseme sijawaambia TinsleyMimi nina wivu aisee
Huwa sivungi.
Kwahilo anisamehe tu,, hawezi kushikilia nafsi yangu yeye pekeyake halafu nisimuonee wivu.
Hadi wewe ulicomment kwenye UziHakii Anne amenishinda tabiaa🙌🙌 Ana taarifa shangazi enu na uzoefu wote humu hata sizijui walai
Nani aliyesikia sauti yako atuelezeHahahaha
Uzee mdogo wangu uzeee. wee mr vocha kumbe nishakomentigi hadi kwenye uzi wako na hunikumbushi mie najua nimekufahamu selfika tu khaHadi wewe ulicomment kwenye Uzi
Sijui ndo unazeeka Madam,hata hukumbuki.
Mimi wivu siachi.🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂! Kwa staili hio Utakondaaaaa utakaa kwa presha na kujitafutia stress za rejareja bureeeee! Msiseme sijawaambia Tinsley
Nimechekaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wasije tu kukuibukia wadangaji😂😂😂
Wewe nae una roho nzuri hadi kuna muda mm na HS tunatamani tukucharaze fimbo
cjaelewa sauti kivipiNani aliyesikia sauti yako atueleze
Humu ndani watu wana sauti kweli
Malegendary ndio mafia sasa.Mie bado mtoto 😂😂😂
Ngoja niwaachie hayo Mambo kina Anne
Hebu mtuwakilishe vyema hukoMalegendary ndio mafia sasa.
Tunaoibukia kwenye mapenzi tunapenda tunazama na mawigi ndio tuna pigo za wivu.
Safari hii tutakufata na matekeNimechekaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ebu mrudishemama mchungaji kwanza sijui umemficha wapi?? Kwani honeymoon haijaisha?
Ya kuongea rafikicjaelewa sauti kivipi
Ni hatua za mwanzo tu za mapenzi with responsibilitie automatic zitapungua 😁😁😂!!Mimi wivu siachi.
Ninavyompenda kuliko roho yangu alooo.
Hata yeye anajua nina wivu.
Kuna siku naona message "Nipige"
Halafu muda si mrefu tumemaliza kuongea.
Kumbe ilichelewa kufika Kwa sababu ya network.
Jasho zito lilinitoka ,nikapiga.
Jf ni balaaa🤣🤣🤣🤣Mmoja alisema Faru Khadija🤣🤣🤣🤣🤣