Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Kwako imepenyaInavutika ila haitapenya.
Ule mzigooo!!
Kwake isipenye kwanini

Kwako imepenyaInavutika ila haitapenya.
Ule mzigooo!!

Huyo ana makusudiMamaeeeeee shepu hilo sssasaaaa uwiiii! Wigelekelo upo hapo??Unaona hii kitu lakini??? Aririririririiiiiiiiiii
![]()
Mwambie nina macho manne😀😘😘😘 ndio maana Braza kapagawa Wifi
Itabidi nianze kwenda kanisani.
Aisee kumbeNa nywele sikuchana😂
muda umefika,wazazi hatujafika
tulipelekwa puta nikajikuta naingia na butu langu.
Karibu mkuu tumwagilie moyo
Kucha saaafi
Kwakweli kwa camera hizo Ni big investment inatakiwa ufanye big projects unakua na agency yako Fulani ya marketing and promotions una lob deals na kampuni kubwa kubwa kupiga matangazo ya kibiasharaNi wachachache watakaelewa,
Japo photographer wanadharaulika.
Unaanzaje kumpiga mtu picha buku aisee?
Aisee kumbe
Basi bado ulidamshi dear
😍😍😍 TanteKucha saaafi
Sema tu KakaAiseesema nikisema maneno kusifia Kuna wahuni watakuja hapa kunishambulia National Anthem
Ulitaka nivae ya kwendea club?Mdanganyeni na hiyo kimpilini
Kapendeza wapi na mgauni wa kuimbia kwaya huo![]()
Watu wa huko wastaarabuYaani
Ila zilikuwa hazijavurugika sana
Sherehe yenyewe ilikuwa ndogo..Watu wa huko wastaarabu
Huko dar uende na butu si wataongea hao
Kwako imepenya
Kwake isipenye kwanini![]()
Sherehe yenyewe ilikuwa ndogo..
Wazazi tu na bibi harusi tuliyeenda kumchukua.
Watu wa daslama 😂
Niliokota matembezini huko elfu20Ooh kumbe haikuwa na watu wengi
Gauni lilikuwa zuri
Muache amejimaliza 😂Sio kufanya vurugu kwa nabii nilitaka nimseme huyu alietoa hela niliyomtuma sehemu yeye kapeleka huko