Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,315
Namie kesho nna sherehe fanya kulinipasia hapa usintanieeee walai😘Mambo ya sherehe za watu 😍
Namie kesho nna sherehe fanya kulinipasia hapa usintanieeee walai😘Mambo ya sherehe za watu 😍
Nimeishaaa... litatosha tu wee unajidharau eeehh!! Uko vizure si mchezoo!!Inavutika ila haitapenya.
Ule mzigooo!!
Utakuwa unakosea maana kila mtu anatoa pale alipoguswaAaah Asante kwa ufafanuzi Sasa mtu ulimtuma mahali akitoka kanisani kwake apitie mahali Fulani akanunue kitu Sasa anarudi anasema Ile hela 200k yooote katoa sadaka ya kujimaliza ,,hivi huyo nabii nikimuibukia arudishe muamala ntakua nakosea
kabisaaa...na hawachomoiiiKiuno cha kuombea mkopo
Asante kwa ufafanuzi mwanazuoni nilitaka niwashe Moto umeuzimaUtakuwa unakosea maana kila mtu anatoa pale alipoguswa
Kwake yeye hiyo bunda aliyofunga pengine ilikuwa na thamani kuliko bunda nyingine zote
Na mwamposa halazimishi mtu kutoa hiyo sadaka..ni jinsi mtu mwenyewe anavyoguswa.
Ni small size 😂😂 Nimeishaaa... litatosha tu wee unajidharau eeehh!! Uko vizure si mchezoo!!
Asante kwa ufafanuzi mwanazuoni nilitaka niwashe Moto umeuzima
Ni mliwaka mlipendeza hatariiii 😍😍😍!Ni small size 😂
Tukupe hii large ya sister kibonge mwenzio
Kuna wimbo wa msanii mboso anasema mungu anaumba mungu anachoraa mungu anakatakata maumboAone na full yake
Hatuna mba mba mba

NinoumaaaaKuna wimbo wa msanii mboso anasema mungu anaumba mungu anachoraa mungu anakatakata maumbo![]()
Sio kufanya vurugu kwa nabii nilitaka nimseme huyu alietoa hela niliyomtuma sehemu yeye kapeleka hukoUkifika kufanya vurugu cha moto utakiona
Kuna poluce jamaa amewatandaza kila mahali
Hallelujah....!!!Asante kwa ufafanuzi mwanazuoni nilitaka niwashe Moto umeuzima
Ni mliwaka mlipendeza hatariiii 😍😍😍!
Mdanganyeni na hiyo kimpiliniYaniiii kapendeza Mnooo!!

Kuna wimbo wa msanii mboso anasema mungu anaumba mungu anachoraa mungu anakatakata maumbo![]()
See you tuwekee soda sisi wazazi tukija kuwaaga wanetuSee you Kesho wapendwa!!
Msiwaze kabisa mtakula mtakunywa mtasazaaaa!! Tumejipangaa kisawasawa!!See you tuwekee soda sisi wazazi tukija kuwaaga wanetu
Na nywele sikuchana😂Ndo unapendezea huko balaa