Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama upo Mule Kanisani,
Ukishika Wallet yako unatakiwa uchukue hela yenye thamani kubwa kuliko nyingine zote ndio uitoe.
Mfano;
Kama una note ya elfu 5,2,1 kwenye wallet yako,
Hapo sadaka ya kujimaliza ni elfu 5.


Mistari anayoisimamia
"YEYOTE AIOKOAYE NAFSI YAKE ATAIANGAMIZA,
NA YEYOTE AIANGAMIZAYE ATAIOKOA"

Ile Sadaka inayouma sana na yenye thamani kubwa huleta matokeo haraka.
Aaah Asante kwa ufafanuzi Sasa mtu ulimtuma mahali akitoka kanisani kwake apitie mahali Fulani akanunue kitu Sasa anarudi anasema Ile hela 200k yooote katoa sadaka ya kujimaliza ,,hivi huyo nabii nikimuibukia arudishe muamala ntakua nakosea
 
Awwwwwwwwwwwww😍😍😍😍😍😍😍! Mtoto jichooo jichooo nyieeeee selfika ina waremboooo ni wakyutiiii balaaaaaa ♥️♥️♥️♥️♥️!!! Na miwani imekutoaajeeeeeeee😘😘✌️✌️!
Shukrani sana hakii leo nitarara vizuuuuureeeeee kabisa!!!♥️
Wa mchongo mchongo
 
Back
Top Bottom