Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Wakati hata Subway tu umegoma kunipeleka mpaka leo???? Haiwezekani 🤪🤪🤪Vifaa vya Ujenzi havijapanda bei Lakini hatutoboi. Ngoja niwe mkweli, Hatujengii.
Wakati hata Subway tu umegoma kunipeleka mpaka leo???? Haiwezekani 🤪🤪🤪Vifaa vya Ujenzi havijapanda bei Lakini hatutoboi. Ngoja niwe mkweli, Hatujengii.
Wakati hata Subway tu umegoma kunipeleka mpaka leo???? Haiwezekani![]()

Tatizo umezidi uoga 😶🌫️😆😆😆😆Itabidi nikupekele aisee, Lile eneo tulivu sana, Sio kama lile eneo lako karibu na Michicha, lile eneo linatisha sana![]()
Tatizo umezidi uoga
Unakuwa kama hufanyagi mazoezi bana
Itapendeza sana...alafu ukipenda tuta-split bill ili ujenzi ubaki pale pale.![]()
Sio woga, wale jamaa wanasababisha usumbufu usio wa lazima
. HawafaiMjep
Habari ya mida


Salama madam
Wewe vumilia tu, kwani huo umalaya wanafanya wanaume peke yao tu ??? 😁 😁 😁Tuvumilie kutokuwa na ela tuvumilie pia na umalaya haipo iyo 😂
Hivi, wewe ukikosa hela huwa unakula nini ???Wote tukikosa hela tutakula Nini sasa?
HalloHello!
Unacheka tena, kwani vijana hizo hela tunazo ??? 😁
Tufanyeje sasa?Unacheka tena, kwani vijana hizo hela tunazo ??? 😁
Waaah Nkamu!!Hivi, wewe ukikosa hela huwa unakula nini ???
Siku nyingine mnafunga na kuomba tu.....
Kutafuta pesa kupo, lakini ukweli mchungu ni kwamba siyo kila siku utakuwa na pesa......Tufanyeje sasa?
Mnataka tufe njaa.
Mwanaume ameumbwa kutafuta.
😂😂Wewe vumilia tu, kwani huo umalaya wanafanya wanaume peke yao tu ??? 😁 😁 😁