MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,451
- 69,319
Braza, braza,!!! Hela hizo unazozisema wanawake wanazo ziko wapi bwana, mimi sizioni ???😆😆😆😆🤠🤠🤠 Wao hata kama wana hela bado wanataka tuwe na hela na hata kama hawana hawataki asie na hela pia, kuvumiliana hakupo bali kuna kuvumiliana michongo yako binafsi itiki
Kiufupi vijana wengi wa kitanzania tuna hali mbaya sana kiuchumi (Financial Stress)
Hivyo inabidi wawakubali tu, maana hakuna wanaume wengine......
Fedha mtatafuta wote, mbele ya safari hukooo......