Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Niko tayari 🙂😊😊😊🤗🤗🤗 Ujiandae basi
Niko tayari 🙂😊😊😊🤗🤗🤗 Ujiandae basi
Mzungu wetu Lizzy
Nilisema mimi kuwa huyu dada ni mzungu.
sshv poleni mlio amshwa na notification za JF 







Chizi wewe 🤣Nimeamshwa na yolly yollysshv poleni mlio amshwa na notification za JF
Upo single afu una komwe![]()
Hi nkamu😘Nkamu😍😍😍
🤣🤣🤣🤣🤣Mzungu wetu Lizzy
Hadi nyimbo za kizunguzungu tu yaani
Sisi wabongo sasa..Unakuta mtu ameweka kibao Saluni ya Mama Kimbo.
Anne acha hizo bana....twende beach kesho uone waswahili tunavyojaa.🙂Nilisema mimi kuwa huyu dada ni mzungu.
Waswahili na haya mambo ya kulalia hivi vitanda wapi na wapi!
Wewe sidhani kama utawezana na nyimbo za kina Mama Kimbo,mara sijui Sukari,Alamba.🤣🤣🤣🤣🤣
Ngoja nitafute hicho kibao na mie nisikilize 🙂
Mapozi yao sasa utayaona tu.Anne acha hizo bana....twende beach kesho uone waswahili tunavyojaa.🙂
Hivyo kaka ya maandishi,Hapo kwenye kaka mtihani
Mimi sijambo kabisa



Nyimbo zetu nyingi siku hizi wanaimba ujinga tena bila hata kutumia tafsida ndio maana sizipendi. Watoto wanavyoziimba sasa ☹️☹️☹️Wewe sidhani kama utawezana na nyimbo za kina Mama Kimbo,mara sijui Sukari,Alamba.
Waswahili wakiona ubao wako wa playlist wanaona nyota tu.
Nipe M lipa yako nikufanyie muamalaIpo 4000 tu mkuu
Ulisikia wapiKwani ww siyo Kaka?

MamboHi nkamu![]()
Poa habari yako mkuuMambo
Madam wa Junia
Njoo tuyamalize kimya kimya😂
Hauna kijana mwingine anaebaki😂😂😂View attachment 2384328
Wacha nipate mbinu ya ku negotiate wakati najiandaa kwenda Kulipa Mahali ya Kijana wangu 🤗🤪
Hello Wednesday 🥂