Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20221012_134905.jpg
 
Nyimbo zetu nyingi siku hizi wanaimba ujinga tena bila hata kutumia tafsida ndio maana sizipendi. Watoto wanavyoziimba sasa ☹️☹️☹️

Kuna hii moja naipenda melody yake ila huwa naona shida kuisikiliza kwenye speaker 😶‍🌫️😶‍🌫️View attachment 2384595
Ndio maana nasema wewe wa uzunguni.

Wenzetu wabongo hii wanaiimba hadi kwenye daladala huku wakitingisha na vichwa.
 
Back
Top Bottom