reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,306
Sitarudia tena shem. Nilikaribia kuwa alcoholic kabisa wale asipokunywa pombe mikono inatetemeka. Naiogopa pombe kama ukoma!Ameiyn usirudi tena






Aseehh ..pole na hongeraSitarudia tena shem. Nilikaribia kuwa alcoholic kabisa wale asipokunywa pombe mikono inatetemeka. Naiogopa pombe kama ukoma!![]()
Same,Usiku mwema
Ngoja nijibembeleze nisinzie
Sijawahi bembelezwa 😂😂Same,
Wakati mwingine hakikisha unabembelezwa.
Si kweli,Sijawahi bembelezwa![]()
Sina bahati hiyo aiseeSi kweli,
Labda hujapenda.
Hahaaha kumbeNdumba![]()
Shikamoo madamHahaaha kumbe
Jamani shikamoo BossShikamoo madam
Marahaba mdogo wanguJamani shikamoo Boss
Nipo nagomabania gari hukuMarahaba mdogo wangu
Ka selfie ka asubuhi basi
Jana nimelala hoi nimeamka naambulia za uso tuu😭😭😭😭
Sawa mdogo wanguNipo nagomabania gari huku
Nikitulia nitakutumia Pm.