Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Marahaba aisee...Eeh kumbe upo Babu
Shikamoo
Yaani leo nina bahati ya mtende wallahi dah!
Ngoja nijipongeze na ki wine kabisa yaani. Si kwa ngekewa hii ya leo



Marahaba aisee...Eeh kumbe upo Babu
Shikamoo



Iko wapi?Tayari nimeweka
Umechelewa nimeifutaIko wapi?
Ukiwa bonge ndo vizuri shem. Si unatujua tena akina Baba Minza?Ya mda kidogo siku hizi mmekua bongee

Imewekwa na kufutwa,Nimekuona laivu mjukuu leo dah!
Yaani....
Mungu Akulinde!
Mbona haraka sana?Umechelewa nimeifuta
Nilikosea tumeona soteUmesoma na Tinsley shem?
Hahaha mapema tu ,Marahaba aisee...
Yaani leo nina bahati ya mtende wallahi dah!
Ngoja nijipongeze na ki wine kabisa yaani. Si kwa ngekewa hii ya leo![]()
Yeah huwa inawekwaje na kufutwa harakaMbona haraka sana?
Inaonekana pisi ya maana sana hii aisee. Watu mnakula maisha eeh!?Tatizo ameachwa afu ametulia si wengine tunaangaika... Nimejiweka hapa sahivi.
Temporary Photo.
View attachment 2384210
Sina bahati aisee!Yeah huwa inawekwaje na kufutwa haraka
Ukiwa bonge ndo vizuri shem. Si unatujua tena akina Baba Minza?![]()




km hapo juuOkay usitoke nikurudieSina bahati aisee!
Wacha nijipumzishe sasa.
Maisha hayana jipya aisee...Hahaha mapema tu ,
Jipongeze tu Babu
Vipi maisha yanasemaje ?



Rey kama rey,Sasa hivi Niko humuView attachment 2384229
Niko hapa na refresh kila sec 10Okay usitoke nikurudie
Baba Minza mi sitakaa nimwelewe...Sasa hivi Niko humuView attachment 2384229
Rey kama rey,
Mashallah.

ahsante wazee siye wakongwee!!!Mnawezaje bila kunywa hata kidogo?Maisha haya jipya aisee...
Kwa sisi tusiokunywa pombe yaani ni shida.....
Nafurahi kukuona ukiwa na furaha mjukuu....Na idumu hiyo furaha...
Putin na Yolly Yolly wake angeona hiyo picha sijui angesemaje![]()
Yaani Sasa hivi anatumia msg everyday treni ishafanya shanting pale tabora ,kachelewa mnoooo...Baba Minza mi sitakaa nimwelewe...
Gojazi hivi halafu cheupe dah! Roho yauma!