Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Maisha haya jipya aisee...

Kwa sisi tusiokunywa pombe yaani ni shida.....

Nafurahi kukuona ukiwa na furaha mjukuu....Na idumu hiyo furaha...

Putin na Yolly Yolly wake angeona hiyo picha sijui angesemaje
Thank you babu , wine pia huwa ni nzuri .

Yaani inabidi tufurahi tu , maisha yakituendesha lakini tabasamu iwepo siku zote.

Yupo na yolly wake huko , anaenjoy maisha yake huko .
 
Alikua anapima maji Kwa ujiti
Hatapata mwingine kama wewe shem. Kosa kubwa sana.

Kuna wanawake ukiachana nao hutakaa uwasahau kamwe hasa ukija kugundua kuwa pengine ndo walikuwa wanakupenda kikweli na walivumilia sana madhaifu yako lakini wakati ule hukujali uwepo wao. Ukitoka hapo na kwenda huko duniani na kula za uso kila unakokwenda lazima tu utawakumbuka! Inauma sana halafu sasa wao wameshamove on! Mtu unabakia tu kuteseka yaani!
 
Back
Top Bottom