Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
hahahahaha.kitambo hyKabla sijaenda kupigwa na jua,ngoja nimalizie kuminya ndude hizi.
Maisha ni hayahayaView attachment 2369407
hahahahaha.kitambo hyKabla sijaenda kupigwa na jua,ngoja nimalizie kuminya ndude hizi.
Maisha ni hayahayaView attachment 2369407
Nikimtazama yolly yollyThobotooooo, sasa hivi analiwa huko kwanza![]()
wangu usoni nasisimka mpka vinyweleo kwa jinsi alivyo mzur 


najiona wa thamani ktk hii dunia 


hata kula ctamani hata vocha zenu sizitaki tena 
kila nikimfikiria yolly yolly 











hahahaha.kijana unamuaacha totoz online kwa tatizo la vocha?🙄🙄🙄 Ndio unirushie vocha hapa hata ya jero, nipande chuoni kule nikaunde bundle la student
naunga tu 😂😂Hapa nipo na dada ma dada wa kazi kama unaunga foleni labda 😄😄😄
Totoz uzuri anajua hali yangu na ameikubari, anajua kabisa sina hela wala kazi.. Nipo maskani nalala 😄😄hahahaha.kijana unamuaacha totoz online kwa tatizo la vocha?
kuna couple imekaa hapa ferry wanalishana tu icecream ya vannila , nimeondoka huyo kupanda gari ,Nikimtazama yolly yollywangu usoni nasisimka mpka vinyweleo kwa jinsi alivyo mzur
najiona wa thamani ktk hii dunia
hata kula ctamani hata vocha zenu sizitaki tena
kila nikimfikiria yolly yolly
Upo single afu unaangalia movie za love story utalia sana pekee ako![]()






nitanenepa soon 





Mimi nimeanza tena upyahahahahaha.kitambo hy
wivu unanogesha penzihahahahaha..safi sana km una wivu
🤣🤣🤣kuna couple imekaa hapa ferry wanalishana tu icecream ya vannila , nimeondoka huyo kupanda gari ,
😁hahahaha,duh
Mtaachana tu😂Nyie kupendwa raha ndevu zimeotanitanenepa soon
Txt zangu zisichanganyike na watu walio single plz![]()
Ngoja niirushe huko piemu watu wasije wakaibeba ukawa offline mazima sijui tutakusaidiaje🙄🙄🙄 Ndio unirushie vocha hapa hata ya jero, nipande chuoni kule nikaunde bundle la student
Tutajaza kijiji sio utani na hizi tozo mbona mambo yatakua poa sanaIla manyanyaso yako yatakuwa mazuri eeeh 😄😄😄 tutazaa kijiji
Nimecheka mpka yolly yolly sweet baby blood pressure wangu kaona wivukuna couple imekaa hapa ferry wanalishana tu icecream ya vannila , nimeondoka huyo kupanda gari ,












huyo dada anadeka public kabisa , nimemshangaaa tena mimi kufika hadi anamuegemea
usikute ni nyieNimecheka mpka yolly yolly sweet baby blood pressure wangu kaona wivu![]()
Watu ni majasiri aiseehuyo dada anadeka public kabisa , nimemshangaaa tena mimi kufika hadi anamuegemea
hatari anataka stand yote imjueWatu ni majasiri aisee

















