Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Watu sijui wanatoa wapi huo ujasiri.hatari anataka stand yote imjue
mimi nina aibu , siwezi kudeka huko
Sisi hata kuongea tu na simu mbele ya wanafamilia hatuwezi.
Watu sijui wanatoa wapi huo ujasiri.hatari anataka stand yote imjue
mimi nina aibu , siwezi kudeka huko
hujambo
Wenye makomwe na Vitambi tunasema hivii Mtaachana😡Baadae jaman mliopo single
Endeleeni kuperuzi mitandaoni mm naenda kumperuzi yolly yolly wangu
Upo single afu una komwe una kitambi![]()
Shkamoohujambo
ndio maana ake rafikiwivu unanogesha penzi
ni kweli uko singo?usikute ni nyie
mnatutesa masingo
😄 Utaendelea kuwa na huu upendo hadi kufa na kuzikana kweli au wa mda mfupi tu... Nimejiunga na Wi-Fi ya mamaNgoja niirushe huko piemu watu wasije wakaibeba ukawa offline mazima sijui tutakusaidiaje
Fursa hiyo mtoto hajaharibika badoni kweli uko singo?
dada kapenda hadi haelewiWatu sijui wanatoa wapi huo ujasiri.
Sisi hata kuongea tu na simu mbele ya wanafamilia hatuwezi.
Waoooo, unazidi kunitekaaa tuuu.. Kijiji tunaanzisha na koo yetu kabisa na mji wetu.. Mie nakuwa King na wewe QueenTutajaza kijiji sio utani na hizi tozo mbona mambo yatakua poa sana
fursa kwenu vijanaFursa hiyo mtoto hajaharibika bado
ndio rafikini kweli uko singo?
Msukuma gani bahiliHapo pagumu
Yani hiyo ni tilii desi apati asiiiiiiii😆😆😆yan hayo ya Carrasco putin ni ya mtoto sisi penzi letu litakua la moto balaa😄 Utaendelea kuwa na huu upendo hadi kufa na kuzikana kweli au wa mda mfupi tu... Nimejiunga na Wi-Fi ya mamaView attachment 2369522
tulia rafiki.,upate mtu anayekufaa..ila mpk sasa hujaona tu ?ndio rafiki
natulia kwanzaa
Hapana king and queen hayo ya watu wengi sie tunatumia emperor and empress hapo sawa. Ngoja tutafute jina la kijiji chetuWaoooo, unazidi kunitekaaa tuuu.. Kijiji tunaanzisha na koo yetu kabisa na mji wetu.. Mie nakuwa King na wewe Queen
nimeona aisetulia rafiki.,upate mtu anayekufaa..ila mpk sasa hujaona tu ?
Changamkia fursa hiyotulia rafiki.,upate mtu anayekufaa..ila mpk sasa hujaona tu ?
hahahahaha,mie hapanaChangamkia fursa hiyo
hahaha,sasa vunja ukimya,USIONE SOO ,SEMA NAYEnimeona aise
namcrush ile mbaya