Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

SIKU NIKIMALIZA ONE YEAR IN "A" RELATIONSHIP LAZIMA NITACHINJA MBUZI..![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ila hapa naona mpka ndoa huyu yolly yolly[emoji7] wangu hajui kukasilika hajui kununa hana wivu ni mcheshi ninachompendea anapenda niwe naenda kulala kwao
Yani mliopo single Muda wote mnakuwa na hasira [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
SIKU NIKIMALIZA ONE YEAR IN "A" RELATIONSHIP LAZIMA NITACHINJA MBUZI..![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ila hapa naona mpka ndoa huyu yolly yolly[emoji7] wangu hajui kukasilika hajui kununa hana wivu ni mcheshi ninachompendea anapenda niwe naenda kulala kwao
Yani mliopo single Muda wote mnakuwa na hasira [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukifikisha mwaka niite mbwaa nimekaa hapa hapa๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
Ukifikisha mwaka niite mbwaa nimekaa hapa hapa[emoji1][emoji1]
Embu nitolee uchawi wako hapa [emoji34][emoji34][emoji34] ngoja nimpigie simu yolly yolly[emoji7] wangu
natamani tupendane,daima yolly yolly tufurahike.[emoji108][emoji108][emoji108]
penzi liwe nene,wengine wasiniteke.[emoji322]
moyo umekuchagua,nikupendae ni wewe.

Upo single afu unatumia tecno [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuoa wewe mwenyewe si unaona ulivyonipa makavu, sinq hela wala kazi, zaidi ya kulelewa home.. Maana mama siku aki charuka nafukuzwaa nitapeleka wapi toto ya watu ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š
Unataka niwe wife material kama kwenye bongo movies nikuigizie โ€œ amna mume wangu tutalala ata chin kwenye vibaraza vya watu mm ntakua mama ntilie ntabangaiza mpaka ije siku yetu ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜โ€ฆ hheeehhhee
 
Embu nitolee uchawi wako hapa [emoji34][emoji34][emoji34] ngoja nimpigie simu yolly yolly[emoji7] wangu
natamani tupendane,daima yolly yolly tufurahike.[emoji108][emoji108][emoji108]
penzi liwe nene,wengine wasiniteke.[emoji322]
moyo umekuchagua,nikupendae ni wewe.

Upo single afu unatumia tecno [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thobotooooo, sasa hivi analiwa huko kwanza ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
Unataka niwe wife material kama kwenye bongo movies nikuigizie โ€œ amna mume wangu tutalala ata chin kwenye vibaraza vya watu mm ntakua mama ntilie ntabangaiza mpaka ije siku yetu ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜โ€ฆ hheeehhhee
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Hapo nitanyanyasika tukipata mali, utaanza kusema heee, bila mimi usingefika hapa bila mimi usingejengaaa sitaki hayo masimango, acha nipambane tu, usije ninyanyasaa mie buree
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Hapo nitanyanyasika tukipata mali, utaanza kusema heee, bila mimi usingefika hapa bila mimi usingejengaaa sitaki hayo masimango, acha nipambane tu, usije ninyanyasaa mie buree
Hehehehe ntajaribu kutokunyanyasa ntajaribu lakin๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†ila masumango lazma yawepo we uvumilie tuu
 
SIKU NIKIMALIZA ONE YEAR IN "A" RELATIONSHIP LAZIMA NITACHINJA MBUZI..![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ila hapa naona mpka ndoa huyu yolly yolly[emoji7] wangu hajui kukasilika hajui kununa hana wivu ni mcheshi ninachompendea anapenda niwe naenda kulala kwao
Yani mliopo single Muda wote mnakuwa na hasira [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeliwa kijana ,jiandae kwa K.O๐Ÿ˜…
 
Back
Top Bottom