Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
pazibe tu hahahaπππ Pataziba, kamata hata Wigelekelo yupo single
wewe umeoa ππ
pazibe tu hahahaπππ Pataziba, kamata hata Wigelekelo yupo single








wangu hajui kukasilika hajui kununa hana wivu ni mcheshi ninachompendea anapenda niwe naenda kulala kwao 





Sina kazi sina hela, naishi kwetu ππpazibe tu hahaha
wewe umeoa ππ
hahahaha.unataka wako peke yakoana wake zake humu
nataka awe hajaoa
sio tatizoSina kazi sina hela, naishi kwetu ππ
Ukifikisha mwaka niite mbwaa nimekaa hapa hapaππSIKU NIKIMALIZA ONE YEAR IN "A" RELATIONSHIP LAZIMA NITACHINJA MBUZI..!
Ila hapa naona mpka ndoa huyu yolly yollywangu hajui kukasilika hajui kununa hana wivu ni mcheshi ninachompendea anapenda niwe naenda kulala kwao
Yani mliopo single Muda wote mnakuwa na hasira![]()
wangu mwenyewehahahaha.unataka wako peke yako
Hapa nipo na dada ma dada wa kazi kama unaunga foleni labda πππsio tatizo
nakuja tuishi wote hapo
naridhika mie
hahahahaha..safi sana km una wivuwangu mwenyewe
nina wivu mie π
Embu nitolee uchawi wako hapaUkifikisha mwaka niite mbwaa nimekaa hapa hapa![]()


ngoja nimpigie simu yolly yolly
wangu 







Unataka niwe wife material kama kwenye bongo movies nikuigizie β amna mume wangu tutalala ata chin kwenye vibaraza vya watu mm ntakua mama ntilie ntabangaiza mpaka ije siku yetu πππβ¦ hheeehhheeKuoa wewe mwenyewe si unaona ulivyonipa makavu, sinq hela wala kazi, zaidi ya kulelewa home.. Maana mama siku aki charuka nafukuzwaa nitapeleka wapi toto ya watu ππ
Thobotooooo, sasa hivi analiwa huko kwanza ππEmbu nitolee uchawi wako hapangoja nimpigie simu yolly yolly
wangu
natamani tupendane,daima yolly yolly tufurahike.
penzi liwe nene,wengine wasiniteke.
moyo umekuchagua,nikupendae ni wewe.
Upo single afu unatumia tecno![]()
ππππ Hapo nitanyanyasika tukipata mali, utaanza kusema heee, bila mimi usingefika hapa bila mimi usingejengaaa sitaki hayo masimango, acha nipambane tu, usije ninyanyasaa mie bureeUnataka niwe wife material kama kwenye bongo movies nikuigizie β amna mume wangu tutalala ata chin kwenye vibaraza vya watu mm ntakua mama ntilie ntabangaiza mpaka ije siku yetu πππβ¦ hheeehhhee
Hehehehe ntajaribu kutokunyanyasa ntajaribu lakinππππila masumango lazma yawepo we uvumilie tuuππππ Hapo nitanyanyasika tukipata mali, utaanza kusema heee, bila mimi usingefika hapa bila mimi usingejengaaa sitaki hayo masimango, acha nipambane tu, usije ninyanyasaa mie buree
Dooooohhh ukiondoka online sa me ntaishije jamanπππBundle bunlde si unaona hata sasa napumilia machineView attachment 2369473
Umeliwa kijana ,jiandae kwa K.OπSIKU NIKIMALIZA ONE YEAR IN "A" RELATIONSHIP LAZIMA NITACHINJA MBUZI..!
Ila hapa naona mpka ndoa huyu yolly yollywangu hajui kukasilika hajui kununa hana wivu ni mcheshi ninachompendea anapenda niwe naenda kulala kwao
Yani mliopo single Muda wote mnakuwa na hasira![]()
NikomeππππNdyo matatizo ya kuwa single ππππππ
hahahaha,duhNikomeππππ
πππ Ndio unirushie vocha hapa hata ya jero, nipande chuoni kule nikaunde bundle la studentDooooohhh ukiondoka online sa me ntaishije jamanπππ
Ila manyanyaso yako yatakuwa mazuri eeeh πππ tutazaa kijijiHehehehe ntajaribu kutokunyanyasa ntajaribu lakinππππila masumango lazma yawepo we uvumilie tuu