Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂Muache ashangae akute watu washanibeba
Yan michembe ni noma ukila unashau Kwa muda kma utakula tena sema mm napenda na maziwa fresh hapo kwenye tako ndo penyew mpwa ngoja nikazane kula 😂😂😂hali sio nzuri
Hatari sana. Hata hapa kama naona majamaa akina Putin yanahangaika hangaika. Akijichelewesha akakukosa mi nam-disown kabisa!

Kuhusu hiyo ishu nyingine wala sina wasiwasi na wewe. Lazima tu unalo. Hili nina uhakika nalo! 😁😁
 
Na pia kuna wanaume tu wenye roho mbaya wanaweza kum-target mtu na date rape drug ili kumwaibisha au kulipiza kisasi. Ndo maana kama kinga huwa haishauriwi kuacha kinywaji chako hovyo hovyo bila uangalizi wako. Maliza chote ndo uende chooni au ukikiacha ukirudi basi agiza kingine ulichokiacha achana nacho.

Kwa walioona hiyo connection binti yuko macho anatoa ushirikiano au ni yale yale ya Uwoya mtu kazima?

Inasikitisha!
Yani sijui tuseme nini aisee

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Hatari sana. Hata hapa kama naona majamaa akina Putin yanahangaika hangaika. Akijichelewesha akakukosa mi nam-disown kabisa!

Kuhusu hiyo ishu nyingine wala sina wasiwasi na wewe. Lazima tu unalo. Hili nina uhakika nalo!
Wewe tulia apoapo nimesharisishwa tayari

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Hatari sana. Hata hapa kama naona majamaa akina Putin yanahangaika hangaika. Akijichelewesha akakukosa mi nam-disown kabisa!

Kuhusu hiyo ishu nyingine wala sina wasiwasi na wewe. Lazima tu unalo. Hili nina uhakika nalo! 😁😁
Hamna kitu mpwa mpwa wako anivumilie tu carrasco Hana mpya yule mpwa 😂
 
Hahaha..babe girl
Hongera sana shemeji. Hatimaye Mulangira naye kajitutumua dah! Ila sijui tukape na jina la Kisukuma ili kifanane na nduguze? Sasa Kokushubirwa mh!

Mungu Akabariki hako kamalaika na kukaongoza daima. Na nyie wazazi mkawe na hekima ya kukalea na kukaongoza katika mapenzi ya Mungu 🙏🏿
 
Back
Top Bottom