National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,176
- 56,199
Unavoendelea utazoea tu hata hivo kwa Browser ukiandika jina zile herufi za mwanzo tu wanakuletea options kibaooo unaclick tu unayentaka mfano
Thanks nimekuelewa AntonniaUnavoendelea utazoea tu hata hivo kwa Browser ukiandika job na zile herufi za mwanzo tu wanakuletea options kibaooo unaclick tu unayentaka mfano
Mletee sugar daddie mleteeeeeee!! Nakuaminia!Sugar daddy sugar sukari sugar cane sugar potatoes
Ila jamani kuna watu wanakula kwa jasho kweli.Dengu eeeh! Nazilima sana huko Misungwi mpwa. Upikaji wake ni sawa tu na kunde mbona?Mojawapo ya vyakula bora kabisa kiafya.
Kweli Wasukuma tunakutunza mpwa. Ndo maana tunataka ubakie huko huko kimoja. We love you!
View attachment 2364577

Usiwazee kabisa na Kila la kheri ✌️!
Likely we Mnyaki wa kishua. Haya mbona ndo maisha halisi ya watu wengi huko vijijini? Na wengi tuliokulia vijijini hii (ilikuwa) ndiyo hali halisi.Ila jamani kuna watu wanakula kwa jasho kweli.![]()
😂😂Mwalimu upo darasaniGood try... rudiaa tennaaa Antonnia ni A kubwaa afu double nn !!
Usichoke practice makes perfect!! Rudiaaa
Mimi nilikuwa sijui kama dengu ni mboga najua ni za kupika bagia tu naonaga unga wake mkovizuriDengu eeeh! Nazilima sana huko Misungwi mpwa. Upikaji wake ni sawa tu na kunde mbona? Mojawapo ya vyakula bora kabisa kiafya.
Kweli Wasukuma tunakutunza mpwa. Ndo maana tunataka ubakie huko huko kimoja. We love you!
View attachment 2364577
Ndiyo maisha ya vijijini. Hata kijijini kwetu ndiyo maisha hayo ila huwa naona huruma sana.Likely we Mnyaki wa kishua. Haya mbona ndo maisha halisi ya watu wengi huko vijijini? Na wengi tuliokulia vijijini hii (ilikuwa) ndiyo hali halisi.
Naam! Kula kwa jasho!
Kama nakuona ukilia mikono myekunduu imepata malengelenge. Zamani niliweza kulima hata masaa manane mfululizo. Nilijaribu mwaka jana hata masaa manne kwenye palizi sikutoboa hoi balaa lakini wenyewe waliozoea ndo kwanza wanajifunga vibwebwe na kuanza kuimba. Bagosha!Ndiyo maisha ya vijijini. Hata kijijini kwetu ndiyo maisha hayo ila huwa naona huruma sana.
Kuna siku nilienda kwa bibi nikaenda naye shamba daah nimelima kidogo mikono ikapata madonda.