Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Kwa Wasukuma sisi karibu kila kitu ni mboga. Ali mradi ugali ulike tu 😁😁😁Mimi nilikuwa sijui kama dengu ni mboga najua ni za kupika bagia tu naonaga unga wake mkovizuri
Kunasiku nilikula michembe nilishiba kutwa nzima nakunywa maji tu😂😂😂
Kuhusu kubaki huku Hilo limepita mpwawako anasemaje🤣🤣
Michembe hizo ukizila na maziwa mgando (maliboto) nakwambia mwezi mmoja huchomoi. Utafumuka tako mpaka ushangae mpwa
Huyu dogo namleta Oktoba au Novemba. Kufikia Desemba tumalizane maana anavyozidi kuchelewa mwishowe atamkuta mwana si wake...




