Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,608
- 24,195
[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]kunoga balaa!binamuu yangu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Bina upo?
[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]kunoga balaa!binamuu yangu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
@Simara huyu ni [emoji7] wewe!?[emoji307]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni aibu yaniUnanunua simu imesha shikwasikwa na mikono ya wabongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukiwasha ina history za kutosha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi ilikuwa ndani ya box au nje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Jaman vitu ninavyovipenda [emoji39][emoji39]Vacation
mambo ninayoyapenda[emoji4][emoji4][emoji4]
Umepataje siti umevaa surual maana ukivaa gauni au sketi siti hupati siyo kwa kugombania kuleGood morning Saint Anne
wamebinya leo mkononi ila kikubw nimepata seat [emoji23][emoji23]
Endelea kupenda tu, maana hulipii mia 🤠🤠🤠🤠Jaman vitu ninavyovipenda [emoji39][emoji39]
Nitakushangaza dogo shauri yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Endelea kupenda tu, maana hulipii mia [emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]
nimevaa gauni refu ndo maaana nimehangaika ningekuwa na kimini yani ni chapUmepataje siti umevaa surual maana ukivaa gauni au sketi siti hupati siyo kwa kugombania kule
Nitakushangaza dogo shauri yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jana nyumbani haukumaliza hata dk 20 ukarudi…Vipi,wamewahurumia?
Maana hao watanesco wa Arusha wanajua sana kujifyatua ufahamu.
Sikuwa na mgeni… niliamua tu kujipikilisha nione kama bado nakumbuka 😅😅Ulikua na mgeni?
Au uliamua tu kujifurahisha kwa kula vizuri
🤣🤣🤣
Tangia lini mwenye stress akalala saa 2
Ndio nimeamka tangia nilale muda ule
Jinsi gani usingzi ulinoga sababu nina utulivu mwilini na moyoni😅
Kumbe unavaaga kimini [emoji39][emoji39][emoji39]nimevaa gauni refu ndo maaana nimehangaika ningekuwa na kimini yani ni chap
Tena mm huwa nacheza mpka wanashangaa hivi huyu angekuwa anakunywa bia ingekuaje [emoji23][emoji23]
njoo viva hapa MakumbushoKumbe unavaaga kimini [emoji39][emoji39][emoji39]
Nina hela ya kununua cassava tunjoo viva hapa Makumbusho
uninunulie hotdog [emoji4]
mbahili wewe mhNina hela ya kununua cassava tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sikuwa na mgeni… niliamua tu kujipikilisha nione kama bado nakumbuka 😅😅
Wenye stress mnaingia kitandani saa 2 mnaenda kulia 🤣🤣🤣