Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,561
- 23,991
Bina upo?


Unanunua simu imesha shikwasikwa na mikono ya wabongoukiwasha ina history za kutosha
hivi ilikuwa ndani ya box au nje
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app




ni aibu yaniUmepataje siti umevaa surual maana ukivaa gauni au sketi siti hupati siyo kwa kugombania kule
Endelea kupenda tu, maana hulipii mia 🤠🤠🤠🤠Jaman vitu ninavyovipenda![]()
Nitakushangaza dogo shauri yakoEndelea kupenda tu, maana hulipii mia![]()




nimevaa gauni refu ndo maaana nimehangaika ningekuwa na kimini yani ni chapUmepataje siti umevaa surual maana ukivaa gauni au sketi siti hupati siyo kwa kugombania kule
Nitakushangaza dogo shauri yako![]()
Jana nyumbani haukumaliza hata dk 20 ukarudi…Vipi,wamewahurumia?
Maana hao watanesco wa Arusha wanajua sana kujifyatua ufahamu.
Sikuwa na mgeni… niliamua tu kujipikilisha nione kama bado nakumbuka 😅😅Ulikua na mgeni?
Au uliamua tu kujifurahisha kwa kula vizuri
🤣🤣🤣
Tangia lini mwenye stress akalala saa 2
Ndio nimeamka tangia nilale muda ule
Jinsi gani usingzi ulinoga sababu nina utulivu mwilini na moyoni😅
Kumbe unavaaga kimininimevaa gauni refu ndo maaana nimehangaika ningekuwa na kimini yani ni chap



Tena mm huwa nacheza mpka wanashangaa hivi huyu angekuwa anakunywa bia ingekuaje


njoo viva hapa MakumbushoKumbe unavaaga kimini![]()
Nina hela ya kununua cassava tunjoo viva hapa Makumbusho
uninunulie hotdog![]()
mbahili wewe mhNina hela ya kununua cassava tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sikuwa na mgeni… niliamua tu kujipikilisha nione kama bado nakumbuka 😅😅
Wenye stress mnaingia kitandani saa 2 mnaenda kulia 🤣🤣🤣