cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,296
Niache nipo busy huku Sudan nasikia utopolo hawana raha kunanini
Kwamba timu kubwa zinaanzia ugenini ila huyu Mama wa kambo ndyo anaanza kwa mkapa Mama jeni bye bye![]()







utopwiseeee n underdog huku kimataifa, na wao wanalijua hilo. Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app

