Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mweee kama anashinda jukwaa la Tech huyo atakua ni kipanga

Mtag hapa akujeeee

VERSE 1
Penzi langu walihudi halihudi lanukia
kumpenda sina budi,
Nitangaze hadharani ikibidi tufanye makusudi
Hatuogopi tantalila zao maneno nchajao
wanafanya maneno baby si tufanye matendo

BRIDGE
Imani nilonayo ilitengenezwa na wewe
huko nyuma nilianguka ukaniokota ukanipangusa
upendo tulonao umetengenezwa na mimi na wewe
Hapo nyuma walituangusha tukanyanyanyuka

CHORUS
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu,
neno penzi kwangu tamu Jama mapenzi matamu
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu, neno penzi kwangu tamu
Jama mapenzi matamu

VERSE 2
Oooh papa kwenye moyo wangu ushaweka alama na chata,
kukupenda wewe sina shaka aaah aaah mmmh
Kwenye akili yangu ni wewe peke yako umenikaa kwingine roho inakataa,
Moyo umekuamini maana huniishi akilini sijui umenipa nini
Au umentupia ka jini ndo maana umeniwin maana huniishi akilini

BRIDGE
Imani nilonayo ilitengenezwa na wewe
huko nyuma nilianguka ukaniokota ukanipangusa,
upendo tulonao umetengenezwa na mimi na wewe
Hapo nyuma walituangusha tukanyanyanyuka

CHORUS
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu,
neno penzi kwangu tamu Jama mapenzi matamu
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu, neno penzi kwangu tamu
Jama mapenzi matamu
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu,
neno penzi kwangu tamu Jama mapenzi matamu
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu, neno penzi kwangu tamu
Jama mapenzi matamu
Hongera

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
M muhaya au mpare
Mjep au Mshana



Yule kiumbe alikuja kwangu kwa nia ya kunifanya niwe mie, ana 30% ktk ujenzi wa maisha yangu.

Michael popote ulipooooo, cocastic anakutakia baraka na fanaka ufanikiwe milele.

Nakumbuka kauli yako hii. "Acha kufake uhalisia wako ili kiwaridhisha watu wa nje, huo ni uhaini wa nafsi yako, kuwa wee na ujivunie kuwa wee"

Ishi sanaaa M huna bayaaaa.
 
Mweee kama anashinda jukwaa la Tech huyo atakua ni kipanga

Mtag hapa akujeeee

VERSE 1
Penzi langu walihudi halihudi lanukia
kumpenda sina budi,
Nitangaze hadharani ikibidi tufanye makusudi
Hatuogopi tantalila zao maneno nchajao
wanafanya maneno baby si tufanye matendo

BRIDGE
Imani nilonayo ilitengenezwa na wewe
huko nyuma nilianguka ukaniokota ukanipangusa
upendo tulonao umetengenezwa na mimi na wewe
Hapo nyuma walituangusha tukanyanyanyuka

CHORUS
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu,
neno penzi kwangu tamu Jama mapenzi matamu
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu, neno penzi kwangu tamu
Jama mapenzi matamu

VERSE 2
Oooh papa kwenye moyo wangu ushaweka alama na chata,
kukupenda wewe sina shaka aaah aaah mmmh
Kwenye akili yangu ni wewe peke yako umenikaa kwingine roho inakataa,
Moyo umekuamini maana huniishi akilini sijui umenipa nini
Au umentupia ka jini ndo maana umeniwin maana huniishi akilini

BRIDGE
Imani nilonayo ilitengenezwa na wewe
huko nyuma nilianguka ukaniokota ukanipangusa,
upendo tulonao umetengenezwa na mimi na wewe
Hapo nyuma walituangusha tukanyanyanyuka

CHORUS
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu,
neno penzi kwangu tamu Jama mapenzi matamu
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu, neno penzi kwangu tamu
Jama mapenzi matamu
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu,
neno penzi kwangu tamu Jama mapenzi matamu
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu, neno penzi kwangu tamu
Jama mapenzi matamu
Naiwekea lamination hii song,

 
Mjep handsome
Halafu six pack yaani..ndio raha ya wazungu wa roho akina Mjep.
Vitambi vimepita mbali nao.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mdogo wangu kinywaji ulichokunywa leo ni hatarii
Mwambie mhudumu akuongeze nyingine 🤣🤣🤣
Kwa sifa hizo mdogo wangu hata Carrasco putin akae mbalii
Umetisha sanaa🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom