Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mjep handsome
Halafu six pack yaani..ndio raha ya wazungu wa roho akina Mjep.
Vitambi vimepita mbali nao.
Weeeeh sijabahatisha selfii yake nzima naonaga ka part ka kichwa tu na sikio moja na upande mmoja wa miwani!! 😉😉 Kumbee!!🤔🤔
 
eti weee fidodido hebu njooo huku selfikaa. Toka huko jukwaaa la Tech,

Njooo hapa, ila usinifokeee baadae, sitakuimbia "Niroge" ya Vanessa.
Mweee kama anashinda jukwaa la Tech huyo atakua ni kipanga

Mtag hapa akujeeee

VERSE 1
Penzi langu walihudi halihudi lanukia
kumpenda sina budi,
Nitangaze hadharani ikibidi tufanye makusudi
Hatuogopi tantalila zao maneno nchajao
wanafanya maneno baby si tufanye matendo

BRIDGE
Imani nilonayo ilitengenezwa na wewe
huko nyuma nilianguka ukaniokota ukanipangusa
upendo tulonao umetengenezwa na mimi na wewe
Hapo nyuma walituangusha tukanyanyanyuka

CHORUS
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu,
neno penzi kwangu tamu Jama mapenzi matamu
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu, neno penzi kwangu tamu
Jama mapenzi matamu

VERSE 2
Oooh papa kwenye moyo wangu ushaweka alama na chata,
kukupenda wewe sina shaka aaah aaah mmmh
Kwenye akili yangu ni wewe peke yako umenikaa kwingine roho inakataa,
Moyo umekuamini maana huniishi akilini sijui umenipa nini
Au umentupia ka jini ndo maana umeniwin maana huniishi akilini

BRIDGE
Imani nilonayo ilitengenezwa na wewe
huko nyuma nilianguka ukaniokota ukanipangusa,
upendo tulonao umetengenezwa na mimi na wewe
Hapo nyuma walituangusha tukanyanyanyuka

CHORUS
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu,
neno penzi kwangu tamu Jama mapenzi matamu
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu, neno penzi kwangu tamu
Jama mapenzi matamu
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu,
neno penzi kwangu tamu Jama mapenzi matamu
Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu, neno penzi kwangu tamu
Jama mapenzi matamu
 
Back
Top Bottom